Tatizo watu wanapenda mteremko Kwani ndugu wa huyo mume mbona hawaji hapo?... unasikua thatha thang'ana fukuza huyo mwanamke akiamua kutembea mtakie safari njema ila ndugu zake fukuza huu ni Muda wa kuandaa maisha ya familia yako sio Kufuga ndugu wa mke wenye wazazi wao
Kama huyo mkewe hataki kuwatimua jamaa awaambie ukweli kwamba hana uwezo wa kuwahudumia kwa sasa warudi kwanza nyumbani hali ikiwa nzuri atawaita wakushaondoka ndo mazima
Unasikia thatha kabla jamaa hajaoa huyo mwanamke hao ndugu walikuwa wanaishi wapi?..... je huyo Dada asingeolewa hao ndugu...
sikiliza thang'ana fukuza hao wageni as soon as possible bora lawama kuliko hasara .
Mume hutakiwa kuwa mpole kuasi hicho.
huyo jamaa kaoa mke sio ndugu wa mke cha kufanya Mwambie huyo mkeo kwamba hutaki kuona hao wageni hapo kwa sababu wamekuja bila utaratibu hivyo huna maandalizi kuwahudumua
Napenda kuwatangazia wana jf kwamba mwaka huu historia ya maisha yangu will change from senior bachelor to masters of couple. nahitaji kuoa ila mpaka sasa mchumba sina hivyo napenda kuwatangazia kwamba kama kuna msichana mwenye utayari wa kuolewa naomba tuwasiliane ili tufanye mazungumzo kama...
Acha kushindana na wifi yako tekeleza majukumu yako maisha yaendelee.
ndugu wa mume ni ndugu zako wavumilie unapokubali kuolewa jiandae kwa yote also ujiandae kisaikolojia.
Tulia kwenye ndoa yako mjenge familia tabia ya kulialia hapa jukwaani mara aaa mara eee haitakusaidia chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.