Chenge ni mti mkavu umewashinda ccm,na serkali.Je si ndiye aliyekataa kuhojiwa na tume ya maadili? Wabunge wa ccm wakamzawadia uenyekiti wa bunge.Eti na yeye yumo kwenye kamati ya maadili ya bunge.Aibu aibu aibu!!!!!!!
Anaturudisha kwenye nguvu kazi ya Mhavile karne ya ishirini na moja.Je msako huo ataufanya saa ngapi usiku wa manane? Je walioko kwenye kazi za usiku wataulizwa saa ngapi?Je kama mchana waliokazini wataulizwa saa ngapi? Makonda anakuwa mlevi wa madaraka!!!!
Labda ndugu yangu hujaelewa maana ya kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa(upinzani).Maana yake hakuna kupinga kila kitu sema ndiyoooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Kinachoitwa uwekezaji ndani ya pori la Ikorongo sasa imekuwa janga.Mwekezaji huyo au mmiliki huyo sasa amefunga njia ambayo ameikuta ikitumika kwa miaka mingi.Njia hiyo ambayo ilikuwa ikitumika na makambi ambayo yapo ndani ya Serengeti kwenda kupata huduma za zahanati na bidhaa imefungwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.