Naomba mtaalam wa kilimo Cha pesheni anae fahamu vitu vifuatavyo.
Anaejua mbegu nzuri na bora sokoni?
Anaejua vipimo Vya kilimo Kwa mche na mche
Anaejua muda wa kukomaa tunda hilo na njia za uvunaji mzuri na wenye tija shambani.
Kiufupi nataka nisaidiwe elimu yote Kwa ufasaha kuanzia abc...
Uza supu maeneo ya uswahili fika machinjoni mapema asubuhi jioni na asubuhi uza supu tafuta eneo lililo changamka lenye vijiwe vya boda au eneo Lenye mirundikano ya watu mithili ya mjini weka bei rafiki isiyo na hasara ila yenye mzunguko mkubwa kwako kukuingizia fedha nyingi
Pole aisee ila hongera Kwa juhudi zako.
Kwa ushauri wangu kabla ya kuanza kilimo chochote kwanza tafiti masoko mwenyewe achana na Yale maneno soko lipo tu mkuu hayo yanapotosha maana ni maneno ya jumla lipo wapi bei ikoje ya kununua sokoni au shambani ni bamia aina gani inapendwa sokoni...
Kulima ni hatua moja soko ni hatua ya pili.
Mm sitaki kujua ulilima wapi ulilima aina gani ya nyanya mmi nataka kujua njia za soko ulizo tumia kunufaika na uuzaji wa nyanya zako bila kupatwa na stress za mzigo kuuza nei ya chini n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.