Recent content by haule.scola

  1. H

    Kwa wanaojua, msaada tafadhali

    he nursing naweza nikapata?
  2. H

    Kwa wanaojua, msaada tafadhali

    haaaaa!! hapo hoi, credit tena
  3. H

    Kwa wanaojua, msaada tafadhali

    nashukuru kwa muongozo
  4. H

    Kwa wanaojua, msaada tafadhali

    habari ya jumapili, samahani ninatafuta chuo cha ualimu kwa ngazi ya cheti pia nauliza kwa wanaoelewa naomba kujua kama kwa matokeo haya naweza kupata hiyo nafasi, C moja, D Tatu, na E tatu
  5. H

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    wakati unapiga puri walikuwa wachache? Hahahaaa
  6. H

    Timing ya kusex kwa wanandoa wenye watoto wadogo

    ndo chapatikana wapi hiki ki2o? Hahahaaa?
  7. H

    Nafikiria kuachana na yule mpenzi wangu asiyeniomba hela

    ulijuaje kama documents zimesomwa? Ukiona zimepungua size? Hahahaaa
  8. H

    Mahakama zetu ni zaidi ya duka

    nakala ya hukumu haitozwi unatakiwa upewe bure, nihaki yako, mnaibiwa
  9. H

    Mahakama zetu ni zaidi ya duka

    haaa! Kumbe siku hizi kuna mahakama hadi za private! Hahahaaa
  10. H

    Wazazi saa nyingine mnaboa bhana arghh!

    kwakweli nimeamini watu tunatofautiana, wazazi wangu ndio kilaki2 kwangu, sipendi wakose ki2 chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu, nikipata kazi nitakuwa tayari hata kuchukua mkopo niwape chochote wanacho hitaji
  11. H

    Uhamiaji wajitetea udhalilishaji wa nafasi ya Afisa Mkaguzi Msaidizi

    kazi ikipatikana watataka mwenye experience ya kuuza karanga?
  12. H

    Nataka kujinyonga kwa kukosa kazi

    umetoa ushauri wenye busara
  13. H

    Waiting for perfect men(girls mtajuta)

    mshahara na pension zote ni hela
Back
Top Bottom