habari ya jumapili, samahani ninatafuta chuo cha ualimu kwa ngazi ya cheti pia nauliza kwa wanaoelewa naomba kujua kama kwa matokeo haya naweza kupata hiyo nafasi, C moja, D Tatu, na E tatu
kwakweli nimeamini watu tunatofautiana, wazazi wangu ndio kilaki2 kwangu, sipendi wakose ki2 chochote kilichopo ndani ya uwezo wangu, nikipata kazi nitakuwa tayari hata kuchukua mkopo niwape chochote wanacho hitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.