Recent content by hauchimbwi

  1. hauchimbwi

    Magufuli Alivyodhaniwa Kabla ya Urais na Alivyo Sasa

    Nadhani watu tuliwahi kusema sana kua mfumo wa chama cha mapinduzi haufai mkasema tatizo ni mtu leo hii tunayoyaona yalitalajiwa sana kila kukicha kikwete na mkapa wamekuwa wakipisha ikulu kwenda kuhakikisha majipu yao yanakuwa salama hapo kazi tu ya kupishana ikulu na kwenda kuweka vikao ili...
  2. hauchimbwi

    Baniani mbaya, kiatu chake dawa: Wa kushukuriwa ni Lowassa

    Kiukweli bora umeliona hili wengine hawalioni.bali wejawa uahabiki tu humu ukiangalia kilichokuwa kikisemwa toka mwaka 2010 ndio.hiki sasa angalau tunachotaka kukiona
  3. hauchimbwi

    Chopa nyingine ya CCM

    Unajua tatizo hawa watu hawajui hivi kweli wanampatia pesa mpiga dili kwenda kuleta chopa kweli ni jambo la kushangaza sana
  4. hauchimbwi

    Twaweza, mikikimikiki mmezalilika . Mjitathmini

    Tatizo twaweza wamekaa kichama dora ndio maana na hata hivyo watu waliowengi tulishaona twaweza insfanya kazi kwa masilahi ya chama cha mapinduzi kipindi lowasa ikiwa huko ilikuwa ikitajwa anaongoza alipohama tu eti akashuka jamani hata ambao hawajui tafiti hawako hivyo
  5. hauchimbwi

    Vijana vyuo vikuu waikana UKAWA hadharani

    Haaaaahaaaa nasikia vijana wamewekwa kazini kwa propaganda sana humu ila hamtafika popote maana baada ya ccm kuishiwa pesa ya kampeni wakakimbia kuuza hisa za tbl so wamepsta pesa wamekuja tena naomba niwaulize je hizo pesa zitarudishwaje au ndio ile hata kma ni nyasi mtakula af mbelele kwa...
  6. hauchimbwi

    CCM imeanza safari ya kuelekea kuzimu

    Kwa kweli nimesoma kichwa cha habar kutoka gazeti la mawio nimeipenda sana hiyo kauli, nimevuta taswira ya kinana juzi kati alikuwa hapa mwanza akichambua serikali inayoongozwa na chama chake na yeye mwenyewe akiwemo maana bila cham hicho kuongozwa hivyo kinavyoongozwa hata yeye asingekuwa na...
  7. hauchimbwi

    Nimetegeshewa mimba bila kujijua

    Kwa kweli vijana tutulie tubaki njia kuuu michepuko ya nini na vip mchumba wako alikuwa mbali mpaka ukaanza kuchepuka au ndio ile kuwa mwanaume hawi na mwanamke mmoja
  8. hauchimbwi

    Waziri Lazaro Nyalandu ajibu tuhuma za Mbunge Joshua Nassari

    Kiukweli mim sijaona tatizo hapo unajua cc watanzania huwa hatupendi kusema ama kusikia ukweli ukiambiwa ukweli tu utasikia mengi kwani niongo hakukili kuwa kipindi yuko marekani alikuwa na miss na kwani ninani ambae hakuona picha aliopiga amembeba askari wa kike y asifanye hivyo kwa wakiume...
Back
Top Bottom