Recent content by Hatugombani

  1. H

    GE2025 Yeriko Nyerere: Nimejiridhisha asilimia 100% CHADEMA haitainuka tena, msahau

    Sasa hivi upinzani upo mioyoni mwa watu ingawa viongozi wa chadema wameamua kusimamia msimamo wao na wale makada tumbotumbo wanatafuta mchele wa bwelele.
  2. H

    Coach Fadlu Davids alimhitaji Balla Conte, viongozi wa Simba wana Imani na Kagoma

    Hii ndio shida ya kusubiri pesa za mwanaume mmoja.
  3. H

    Waliochangia Simba kukosa ubingwa msimu huu

    msemo wa kuandaa timu,matokeo yake ndio haya.
  4. H

    Coach Fadlu: Simba hii haivutii kuitazama ikicheza

    unamtoa Kagoma unamuingiza Hamza yaani kocha ana-sub za ajabu. Timu inacheza mpira lonyolonyo Wachezaji hawana morali kabisa. Yanga alistahili ushindi.
  5. H

    Nani anaruhusiwa kuchanganya dini na siasa?

    Rais ambaye ni mwanasiasa huapishwa na Kiongozi wa Dini. Vikao vya Kisiasa hufanyiwa dua au maombi na viongozi wa dini pindi wanapofanya vikao vyao. Viongozi wa kisiasa ni waumini au washirika kwa viongozi wa dini (Yaani ni Baba zao wa kiimani) Viongozi wa dini wanawajibu wa kushauri washirika...
  6. H

    Simba sports club a.k.a makolo dunduka asilimia 100% wanaenda kutolewa na wasouth wa Stellenbosch

    Tangu hatua ya awali mmekuwa na kauli za kichawi dhidi ya Simba na mnachoambulia ni aibu kama iliyompata Farao au Firauni.
  7. H

    Wanachadema Mnaotaka Kugombea Nafasi za Uwakilishi Chama ni Kimoja,ACT Wazalendo

    Basi tuseme mitano tena kwa Mama na maisha yaendelee.
  8. H

    Wanachadema Mnaotaka Kugombea Nafasi za Uwakilishi Chama ni Kimoja,ACT Wazalendo

    Bunge linatunga sheria ambazo muda mwengine huleta vikwazo vya kimaendeleo lakini huwa wanapitisha baadhi ya mambo yanayoletwa na serikali ambayo mengineyo hayana tija kwa maendeleo ya umma. Hapo sijazungumzia upande wa mkuu wa nchi anayechaguliwa kisiasa. Kiufupi hii nchi wafanya maamuzi ni...
  9. H

    Wanachadema Mnaotaka Kugombea Nafasi za Uwakilishi Chama ni Kimoja,ACT Wazalendo

    nilichogundua vyama vingi vinakubali kusaini kwa ajili ya fursa za kula pesa ya Umma na si kwa malengo ya kuleta maendelea kwa umma.
  10. H

    Kwanini hotuba za John Heche zinaonekana kama amekaririshwa maneno/amemeza flash? Anarudia maneno yale yale kila mkutano

    hata wimbo unaovuma ni ule unaopigwa mara nyingi halafu unashika chati
  11. H

    Fikra za kujiua zimenitawala sana. Naomba msaada na ushauri

    roho ya mauti inakunyemelea hivyo Ishinde kwa Jina la Yesu Kristo maana Yeye ndiye mwenye mamlaka ya kuiondoa. Fungua za kufunga hiyo roho anazo Yesu Kristo. Ufunuo wa Yohana 1:18 " na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za...
  12. H

    PreGE2025 Kugawa Majimbo ya Uchaguzi Nchini Tanzania Maslahi ya Umma au Wanasiasa?

    Ni ulaji tu na kubebesha mzigo raia wa kuwagharamia na kuongeza umasikini tu.
  13. H

    PreGE2025 VIDEO: Innocent Bashungwa alivyomsaidia mtoto huyu kumtwisha dumu kichwani baada ya kuwakuta wakichota maji

    Kwa maoni yangu: Alitakiwa abebe yeye ili kumsaidia na si kumbebesha mzigo. Hii inaleta taswira kuwa viongozi wengi kazi yao ni kubebesha raia mizigo wao wakifikiri hayawahusu.
Back
Top Bottom