Sasa hivi upinzani upo mioyoni mwa watu ingawa viongozi wa chadema wameamua kusimamia msimamo wao na wale makada tumbotumbo wanatafuta mchele wa bwelele.
unamtoa Kagoma unamuingiza Hamza yaani kocha ana-sub za ajabu.
Timu inacheza mpira lonyolonyo
Wachezaji hawana morali kabisa.
Yanga alistahili ushindi.
Rais ambaye ni mwanasiasa huapishwa na Kiongozi wa Dini.
Vikao vya Kisiasa hufanyiwa dua au maombi na viongozi wa dini pindi wanapofanya vikao vyao.
Viongozi wa kisiasa ni waumini au washirika kwa viongozi wa dini (Yaani ni Baba zao wa kiimani)
Viongozi wa dini wanawajibu wa kushauri washirika...
Bunge linatunga sheria ambazo muda mwengine huleta vikwazo vya kimaendeleo lakini huwa wanapitisha baadhi ya mambo yanayoletwa na serikali ambayo mengineyo hayana tija kwa maendeleo ya umma.
Hapo sijazungumzia upande wa mkuu wa nchi anayechaguliwa kisiasa.
Kiufupi hii nchi wafanya maamuzi ni...
roho ya mauti inakunyemelea hivyo Ishinde kwa Jina la Yesu Kristo maana Yeye ndiye mwenye mamlaka ya kuiondoa.
Fungua za kufunga hiyo roho anazo Yesu Kristo.
Ufunuo wa Yohana 1:18
" na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za...
Kwa maoni yangu: Alitakiwa abebe yeye ili kumsaidia na si kumbebesha mzigo.
Hii inaleta taswira kuwa viongozi wengi kazi yao ni kubebesha raia mizigo wao wakifikiri hayawahusu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.