hakuna mtu anayepinga suala la beach plots na open spaces lisifanyiwe kazi. Lakini ninachotaka kutahadharisha hapa ni kuwa ni dagaa tu watakaonewa ila mapapa wa kuvamia ardhi za umma hawataguswa. Hii ndo hulka ya ccm. Kwanini niwaache watanzania wenzangi mkiwa na fake hopes wakati inafahamika...
HAKUNA LEGALITY YOYOTE KATIKA KUBINAFSISHA ARDHI YA SERIKALI TENA KW MGONGO WA NYUMA. IS SHE THE ONLY ONE TO BULID A PRIVATE SCHOOL IN TANZANIA? IF ALL OTHER PRIVATE SCHOOLS DEVELOPERS ACQUIRE LAND AT THE MARKET PRICE, WHY ONLY SHE GETS THAT PREFERENCE?
hON JOHN MAGUFULI WHEN SERVING FOR THE...
ninachosisitiza prof anna tibaijuka hana moral authority ya kutenda yale anayohubiriiri. Tatizo letu watanzania wepesi kusahau na kusamehe. Sis ni mama huyu huyu aliyteona mfumo wa ccm na umoja wa wananwake (uwt) hauwezi kuwakomboa wanawake wa tanzania kutoka lindi la umaskini na akaamua...
viwanja vya wazi, fukwe nk zote ni mali ya serikali na ranchi ya taifa pia n i mali ya serikali. Kama ni kurudisha kila mtu arudishe alicho nacho. Si wengine kuonewa na wengine kubaki na mali na ardhi za serikali.
kutokana na ukubwa wa kiwango cha ada wazazi wanachotakiwa kulipwa katika shule hiyo, hoja kuwa ardhi hiyo inatumika kwa maslahi ya taifa haina mashiko kabisa. Badala yake inachingia kukua kwa matabaka kati ya walionacho na wasio nacho.
Chimbuko la yeye kupata ardhi hiyo ni maombi ya vijiji...
Waziri mpya wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof Anna Tibaijuka jana aliibuka na kuwataka watu wote waliopora ardhi ya serikali na viwanja vya wazi na na kujenga katika maeno ya fukwe wajisalimishe haraka wizarani kwake kabla ya hatua kali za kisheria kuchukuliwa dhidi yao...
habari ambazo zimelifikiadawatila hatudanganyikikutoka ofisi ya waziri mkuu zinzonyesha kwamba wasimamizi wauchaguzi katika majimbo yaani wakurugenzi wa halamashauri za wilaya, miji na manispaa wameligwa marufuku kutanza a matokeo ya kura zilizopigwana kuhesabiwa katika maimbo yao hadi hapo...
Wiki iliyopita chombo kikuu cha dola kilitoa matangazo yasiyo ya kawaida katika vyombo vya habari kuwa inatarajia kuajiri madereva wasio na idadi wenye elimu kuanizia darasa la Saba. Na wanaotaka ajira hizo waripoti moja kwa moja katika Kambi ya Mgulani.
Hii ni kinyume kabisa na utaratibu wa...
DAWATI LA HATUDANGANYIKI limepokea taarifa za kuaminika kutoka vyanzo vyake kuwa kuwa mara tu baada ya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CHADEMA, siku ya Jumamosi tarehe 28 Agosti 2010 wakuu wa Idara ya intelejensia walikutana na timu ya Kampeni ya CCM kwa ajili ya kutoa mlisho nyuma, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.