Hatudanganyiki
Member
- Aug 29, 2010
- 10
- 0
habari ambazo zimelifikiadawatila hatudanganyikikutoka ofisi ya waziri mkuu zinzonyesha kwamba wasimamizi wauchaguzi katika majimbo yaani wakurugenzi wa halamashauri za wilaya, miji na manispaa wameligwa marufuku kutanza a matokeo ya kura zilizopigwana kuhesabiwa katika maimbo yao hadi hapo watakapo kuwa wamepata kibali kutoka wka mwenyekiti watume ya uchaguzi.
Mt take: Inaonekana mwenyekiti wa tume ya uchauguzi tayari anatumiwa na ccm kutangaza matokeo ccm inayotaka, hivyo hizo ni njama ya kuhakikisha kuwa kura za dr slaa na wabunge wa chadema zinachakachuliwa. Hivyo chadema wajipange kujumlisha matokeo kutoka kila kituo cha kupiga kura kwa kutumia mawasiliano ya simu na kutangaza matokeo hayo kwa ni ya kuiprempty tume ya uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi
Mt take: Inaonekana mwenyekiti wa tume ya uchauguzi tayari anatumiwa na ccm kutangaza matokeo ccm inayotaka, hivyo hizo ni njama ya kuhakikisha kuwa kura za dr slaa na wabunge wa chadema zinachakachuliwa. Hivyo chadema wajipange kujumlisha matokeo kutoka kila kituo cha kupiga kura kwa kutumia mawasiliano ya simu na kutangaza matokeo hayo kwa ni ya kuiprempty tume ya uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi