Recent content by hassanmpilla

  1. hassanmpilla

    Wastaafu Zanzibar wapo Kimya, wa Tanganyika mbona hawatulii walisahau nini madarakani?

    Wengi wao enzi za uongozi wamefanya madudu mengi sasa wana wasi wasi kwaivo wanataka watengeze chain yao ya uongozi ili mengi yasifichuke na waendelee na ulaji kama kawaida.
  2. hassanmpilla

    Hivi ni kweli hakuna wa kumshauri Samia? Hii inasikitisha

    Hapo ni kumpigia mbuzi gitaa mwana jamvi, kila kitu siasa. Si jambo jipya na si kweli kwamba hajawahi kulisikia kupitia vyombo vya habari kuwa maiti zunazuiliwa kisa malipo. Tutasikia na kuona mengi ya kustaajabisha na kushangaza kwenye kampeni hizi.
  3. hassanmpilla

    Tetesi: Marekani na Ulaya hazitautambua Uchaguzi Mkuu 2025 ikiwa CHADEMA haitashiriki!!

    Kiukweli taifa letu linapitia hali ngumu sana ya kisiasa na watawala wametia pamba maskioni na kujifanya hawaoni hii hali na kuaminisha watu kuwa hali iko shwari, Yanafanyika mambo ya hovyo sana this time around.
  4. hassanmpilla

    PreGE2025 Ni mafuriko: CHAUMMA kupokea wanachama wa CHADEMA 3,000, mkutano kufanyika Ubungo Plaza

    Mpaka sasa natafakari na kijiuliza nani yuko nyuma ya jambo hili, anaefinance na kumobilize issue nzima ya wananachama na viongozi wa chadema kuhamia chadema
  5. hassanmpilla

    Muuaji aamua kujimaliza

    Tunalo tatizo kubwa la afya ya akili, inapelekea mpaka watu wanafanya matukio ya ajabu, kikatili na yakustaajabisha.
  6. hassanmpilla

    Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

    Nakubaliana na ww mkuu, na ni ngome kubwa sana kwao. Cha ajabu sasa maendeleo wanapelekewa kimkakati.
  7. hassanmpilla

    Mitano tena: Muonekano wa nje wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Kilindi Kata ya Matiri Ruvuma

    Kwani si juzi tu apa amemaliza ziara ya kikazi mkoani humo hadi wengine wakagalagala kwa kumshukuru, ina maana hakuiona hii hali kweli?
Back
Top Bottom