Recent content by hassankikoti

  1. H

    Umewahi kufuatilia maongezi ya mkeo na michepuko yake?

    Ukimchunguza sana bata uwezi kumla... Acha tu ndugu.. Kwasababu mapenzi kama swiminpool tu aliyeanza kuoga umjui na atakae maliza kuoga pia umjui kwahiyo jisaminishe wameoga wangapi..
  2. H

    Vichwa vya habari na siasa zetu

    Akili zao wanazijua wenyewe hao waandishi.., Sent using Jamii Forums mobile app
  3. H

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Mbona chanell za azam hazionyeshi kwasasa kwanini naomba jibu
  4. H

    Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

    Mungu awape pumziko huko mbinguni...poleni wazazi ndugu na jamaa mliofika na hiyo misiba
  5. H

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Kudownload inagoma je nitumie njia gani maana nimemiss kuona hizo chanel
  6. H

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Kwangu imegoma kabsa mtanisaidiaje kama mdau wenu ...naomba mnipe maelekezo
  7. H

    Mkwamo wa kuhamia Dodoma! Hili limesahaulika ama halikuzingatiwa

    Karibu dodoma mazee huku kuko shwali kwa raha zetu kila kitu kipo
  8. H

    Tecno siyo Simu ya Kujisifia na Kuifananisha Na High Quality Phone

    Mimi mwenyewe ndio mtumiaji mnzuri wa tecno nina miaka kama minne nazitumia sijaona tatizo
  9. H

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    mimi najaribu kuinstilaa
  10. H

    Rais Magufuli apiga simu tena Clouds 360, awapongeza kwa kazi nzuri

    Au anhewapongeza ITV daima naona ingekuwa pia au vipi
  11. H

    Dodoma: Watu wanne wakiwamo Polisi wawili wafariki dunia kwenye ajali mbaya ya gari

    Yaani kwasasa ubinadamu umekwisha MTU unafurahia kifo cha mwenzio kweli utafikili wewe utaishi milele ..kifo kimepangwa kwa binadamu wote na muda wako ukifika utaondoka tu....poleni wafiwa wote
  12. H

    TCRA wafanya ukaguzi wa mwisho na kuiruhusu Radio 5 kurudi hewani Dec. 16

    Walitangaza habari za uchochezi ndio maana wakafungiwa
  13. H

    Siamini kama Natumia Halotel

    Kweli kabsa wako slow mno kwa Internet ...utafikili sio wao ..sijui tatizo nini?
Back
Top Bottom