Ukimchunguza sana bata uwezi kumla... Acha tu ndugu.. Kwasababu mapenzi kama swiminpool tu aliyeanza kuoga umjui na atakae maliza kuoga pia umjui kwahiyo jisaminishe wameoga wangapi..
Yaani kwasasa ubinadamu umekwisha MTU unafurahia kifo cha mwenzio kweli utafikili wewe utaishi milele ..kifo kimepangwa kwa binadamu wote na muda wako ukifika utaondoka tu....poleni wafiwa wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.