Recent content by Hassan wenger

  1. H

    Maandamano kwa waliokosa mikopo na waliopata mikopo kiduchu HESLB

    Tuko tayari kukimbizwa kwa hili,, Nilijuta last week kuna jamaa walituambia twende kwa mkurugenzi wizara ya elimu ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu sikwenda kumbe ndio ilikua bahati yao kwani walipofika tu mkurugenzi akachukua majina yao na ndio wengi wao uliowaona kwenye lot ya...
  2. H

    Maandamano kwa waliokosa mikopo na waliopata mikopo kiduchu HESLB

    Habari ziwafikie waliokosa mikopo wote kwamba kesho tutakua na maandamano yatakayoanzia ofisi za bodi ya mikopo kuelekea kwenye ofisi ya waziri mkuu. Wahusika ni wanachuo wote waliokosa mikopo, first year na continuing students na wale wote wenye mikopo kiduchu kiasi kwamba wameshindwa kwenda...
  3. H

    Kilichojiri uchukuaji wa fomu ya mgombea Urais kupitia UKAWA-Lowassa

    Haiwezekani jombaaa,akifanya hivyo wananchi watachukua nchi yao leo asubuhi na sio oct 25 tena.
  4. H

    Tsh 200,000 niuzie laptop

    duh!!ongeza hadi 400k tufanye busness mkuu
  5. H

    Kumbe Dar matapeli wengi?

    Pole sana ndugu..ila usihadithie wengine utapata zambi.
  6. H

    CCM inapendwa na inaendelea kupendwa na kuaminiwa, CCM ni faraja kwa Watanzania. Chagua CCM

    Yani hayo maneno ungeyasemea pale kariakoo mleta mada ungekua ushachomwa moto zamani sana!
  7. H

    Pata smartphone na Laptop kwa bei ya promotion hapa!!!

    Haina maslahi mkuu lete 90 tufanye biashara.
  8. H

    Pata smartphone na Laptop kwa bei ya promotion hapa!!!

    Laptop ina miezi miwili toka kununuliwa mkuu na haina dosari yoyote.
  9. H

    Nahitaji/Niuzie smartphone nzuri

    Kuna Techno hapa P5 laki moja tu mkuu.Haina tatizo lolote na unapata charge na earphone zake.
  10. H

    Pata smartphone na Laptop kwa bei ya promotion hapa!!!

    Laptop aina ya Toshiba yenye sifa zifuatazo: RAM: 2GB HDD: 465GB PROCESSOR: 1.8GHZ BEI: Laki nne na ishirini i.e 420k Simu ipo pia aina ya Techno P5 kwa bei rahisi ya sh laki moja i.e 1k Bidhaa zote zipo katika hali nzuri kabisa bila michubuko wala mivunjiko yoyote Mawasiliano...
  11. H

    Wahusika wakuu wa Bayport

    mkuu mi wife anakatwa pesa na bayport wakati hajawahi kukopa huko ..hii inakuaje?
  12. H

    Kinana awaita Makapi wote waliochujwa na CCM kwenye Uchaguzi wa ndani

    Kinana anamchokoza mzee Pinda..mzee wa watu kawaachia chama chao ye kaenda mpanda kulina asali..sasa sijui ye anaona raha mwenzie akilia lia kila siku mbele za watu!!
  13. H

    Nauza simu kwa bei ya hasara

    Fanya 95 mkuu
  14. H

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    watu wamejazana kwenye vibanda kufuatilia!!!hakika saa ya ukombozi ni sasa!!!
  15. H

    Pendekezo la Maridhiano Juu ya Lowassa (A Proposal on Compromise): Kutoka Hapa Kwenda Kule...(2015)*

    Mzee huyu anaandika mambo mengi lakini hakuna cha maana ..hivi kweli kipindi hiki ni cha kuomba misamaha kwa makosa makubwa kama hayo kutoka kwa president candidate hata kama aliyafanya?inaingia akilini leo umwambie Seif asigombee Z'bar halafu umuweke Jusa? Kipi tutakikosa Seif akiwa mgombea...
Back
Top Bottom