05 Today
unachotakiwa kwanza uwe na mchoro wako wa
umbo husika kama swali lipo katikamaelezo
uchore kutoka na maelekezo kisha utapata
equation mbili tofauti kutoka katika umbo hilo
kama zifuatazo:
1; a+3y = 360° (nyuzi)
2; a+a +y =180°(jumla ya nyuzi za pembe tatu
pacha)
baada ya hapo...
unachotakiwa kwanza uwe na mchoro wako wa umbo husika kama swali lipo katikamaelezo uchore kutoka na maelekezo kisha utapata equation mbili tofauti kutoka katika umbo hilo kama zifuatazo:
1; a+3y = 360° (nyuzi)
2; a+a +y =180°(jumla ya nyuzi za pembe tatu pacha)
baada ya hapo solve kama...
Habari waungwana
Tatizo la kutokwa na mkojo mara kwa mara kwa mwnaume mithiri ya mwanamke mwenye FISTURA unaombatana na maumivu makali wakati wa kukojoa.
Je, tatizo hilo linasababishwa na nini? na kipi chanzo na tiba yake?
Habari ndugu zangu.
Shukrani za dhati ziwaendee wale wotewanaofakisha jukwaa hili la Elimu katika nyanja zote ndani ya JF ila ningependa msaadazaidi utolewe pia kwa Elimu ya upili wa juu ili kusaidia kwa wale wanaojifunza kama watahiniwa wakujitegemea pamoja na wale wa mashuleni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.