Hapo haihitaji hata uwe msomi sana,ishu zote mbili haztakuwa kesi, mambo yatasoviwa kama ulikuwa ni utani,japo wengi wanaochangia kishabiki humu JF wanatumia mihemuko kila mtu anavutia kwake,kitu wasichokijua watu wengi ni kwamba timu nazo iwe young africans au simba au timu nyingne kuwa nazo ni...
Mko sahihi siwapingi sunderland,kumbe sanda hamjaanza leo,msimu jana kuna timu imetumia viwanja vitatu na hamsemi humu ndani,taifa,jamhuri moro na chamazi
Bongo wana mambo ya kiwaki sana,mbona haya mambo huwa ni ya utani kama hawataki utani waseme,kwani ni uongo kuwa jezi haziuziki? Na kama wanasheria wataamua kuchukulia siriaz kauli za wasemaji wote itatakiwa kulipana mabilioni ya pesa,yote kwa yote hakuna kesi hapo
Siku mkiacha kuamini kuwa siasa za nchi yetu ni maigizo,naamini mtaacha kuwachukia viongozi wenu au mtawachukia zaidi,maana hapo kinachofanyika ni kama hesabu za algebra kwenye sets ya kuna mnawaona wao ni chadema,act n.k. Ila amini wana muingiliano(intersect) wa moja kwa moja na hao ccm. Hivyo...
Mtoa andiko kaeleweka sana na yuko sahihi kwa ukubwa ila kwa namna alivyoelezea sisi wa-cuba naye pia ni m-kagera,hvyo basi naamini solution itapatika,kama ambavyo huwa sipendi kudharau maoni na mawazo ya mtu ila naamini kwamba tabia nyingi alizotaja pia zipo mikoa mingi katika nchi hii,nahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.