Recent content by hass9

  1. hass9

    Msaada kuhusu Faculty ya community development

    Ofcourse ni kozi nzur waweza jiajiri mwenyewe kwa kutengeneza community group, or ukaamua kuchukua watoto yatima kuwalea kupitia project mbalimbali ili upate misaada. Waweza kuajiriwa bank as teller or ukafany motivation kwa jamii kuhusiana na issues za bank, project manager if utakuwa...
  2. hass9

    Godbless Lema amnyooshea kidole Mwigulu Nchemba

    Ni moja kati ya ushauri ambao kiongoz katika serikal anapaswa kuwa nao. I appreciate you Mr lema kwan uponzani sio kupinga kila kitu Bali ni mbadala wa serial iliyopo madarakani. Keep it up Mh. Mwigulu n goodluck
  3. hass9

    Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

    Somo zuri. Kwa kuongezea kwa wenzang kwenye tendo la ndoa ni shida kidogo kitunguu swaum ni moja kati ya dawa kurekebisha tatizo hilo. Chukua vipande 10-15 then katakata vipande vidogo vidogo kisha kunywa na maji kwa kila asubuh na jion. Ahsanteni ni dawa nzuri sana ndg zangu
  4. hass9

    Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

    Dah. If ni kwel inabid tuzid kuomba na kuswal kwa wote kwan dunia inakoelekea mmmh?!! Mana nowadays wanataka rights zao subhannallah.
  5. hass9

    Njia rahisi 8 za kupata ajira popote ukiwa umemaliza chuo hizi hapa

    Kwangu ni moja kati ya kitu muhimu katika life pale ninapotaka kuomba kazi. Nashukuru sana kwa kunifungua macho na ubongo kwa hilo. Allah bless u bro
Back
Top Bottom