Godbless Lema amnyooshea kidole Mwigulu Nchemba

Godbless Lema amnyooshea kidole Mwigulu Nchemba

Hongera Lema, siku zote nakukubali, mungu aendelee kukubariki na uzao wako
 
Wewe endelea kudeki choo hapo lumumba upate pesa ya kujikimu huwezi kuona jipya wakati wewe akili zako zimefungiwa chooni
Na akili zake hizo kamwe haziwezi kufunguliwa kamwe
 
Wewe endelea kudeki choo hapo lumumba upate pesa ya kujikimu huwezi kuona jipya wakati wewe akili zako zimefungiwa chooni
Na akili zake hizo kamwe haziwezi kufunguliwa kamwe
 
Lema hazungumzii kabisa ujambazi uliokithiri au kwa sababu na yeye ana kashfa ya wizi wa magari
 
Lema kaonyesha busara sana siasa si uadui ...! Ushauri mzuri kwa Mh waziri
 
JPM kamtega mgombea mwenza hapo. Naliona lengo lake la kumrejesha Nchemba kwenye viti vya wote litatimia hivi punde. Na litaanzia kwa kuzuiwa kwa makusanyiko ya vyama vya siasa. Awe makini kwelikweli vinginevyo nafasi hiyo itamfuta kwenye medani za siasa.
 
JPM kamtega mgombea mwenza hapo. Naliona lengo lake la kumrejesha Nchemba kwenye viti vya wote litatimia hivi punde. Na litaanzia kwa kuzuiwa kwa makusanyiko ya vyama vya siasa. Awe makini kwelikweli vinginevyo nafasi hiyo itamfuta kwenye medani za siasa.
Hata mim naliona hilo
 
Ni moja kati ya ushauri ambao kiongoz katika serikal anapaswa kuwa nao. I appreciate you Mr lema kwan uponzani sio kupinga kila kitu Bali ni mbadala wa serial iliyopo madarakani. Keep it up Mh. Mwigulu n goodluck
 
Back
Top Bottom