Recent content by Hashim Jirini

  1. Hashim Jirini

    Ramani za nyumba kwa 150000/=tu

    Offer hii ni mwezi 1tu unapata ramani za nyumba kwa gharama nafuu with documents, pia tuna jenga nyumba tupo Arusha na Tanga. Contact: 0674904430
  2. Hashim Jirini

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Mh Huyu Freyzem Kiboko Big up..
  3. Hashim Jirini

    Pumzika kwa amani kada wa CCM, kweli ulitelekezwa

    Baba Ubaya hahahah!
  4. Hashim Jirini

    Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

    Ukifuata unachotaka unafuata matamanio yako kwa mujib wa kitabu chetu na ni makosa kisheria ya uislam
  5. Hashim Jirini

    Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

    Wanawake wakiislam wafuata kitabu ambacho hakiwezi kubadili sheria kwahiyo wanafuata yale waliyoletewa natume wao wanamwamini mola wao na wanataraji malipo makubwa zaidi huko waendako
  6. Hashim Jirini

    Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

    Kitabu chetu hakibadilishwi na. Wala yaan Quran never forever
  7. Hashim Jirini

    Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

    Hiyo ni dharura hata wa mke mmoja inaweza kumkuta
  8. Hashim Jirini

    Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

    Tabia ya mtu ni tofauti na dini isemavyooo mkulu
Back
Top Bottom