Habari Zenu !!!
Zamani watu Wengi wanaoana bila hata kujuana awali : mtu analetewa mume na wazee wake , au mwanaume analetewa mchumba na wazee wake lakini ikitokea wamefunga ndoa basi ndoa zao hudumu muda mrefu zaidi
Lakini leo Kabla ya ndoa huwa mnajuana na munapendana ila mkioana ndoa hua...
Enzi zileeeeeeeeee
Ikifika Mida kama hii umetia vocha yako unaanza kumpigia demu wako apo mpaka Alfajiri
Hivi stori gani nzuri za kupiga usiku ili usichoke kuongea na simu Mara moja ???
Habari zenu wana JF,
Saivi kumeibuka wimbi la mahari kuwa juu kiasi ambacho vijana wengi wanashindwa kuingia katika ndoa licha ya kuwa na niya yakufanya hivyo.
Kwa uoni wangu licha ya maisha kuwa magumu lakini chanzo haswa wazee wa sasa hivi ni tofauti na wazee wa zamani.
Zamani mzee akipata...
Habari zenu : kwa wale wote ambao wapo kwenye ndoa licha ya mambo mengi ambayo yatazidisha mapenzi lakini ZAWADI ni kitu muhimmu
Jizoweshe kumchukulia mkeo Zawadi unaporudi kazini : ukitoka tu Mtumie msg au simu umuulize Leo nikuchukulie kitu Zawadi gani ?? Ikiwa unatabia io basi daima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.