Recent content by HASANALIS

  1. H

    Jamani mi mgeni

    Karibu sana wewe ni mgeni wetu
  2. H

    MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

    Wacheni nyie ccm ndio inakamata uchumi wa dunia kila kitu hapa bureee
  3. H

    Jinsi ya kutumia monitor kama television

    Kina kifaa kinaitwa tv box pita mitaa ya kariakoo kinapatikana kwa tshs 45000 hicho kifaa ni kiunganishi kutoka lcd to tv lakini hakina hdmi ila kama startime ma vengine local unaweza kutumia ,samahan naandika nipo njiani
  4. H

    Haya ni mapenzi au mahaba?

    Mahabuba
  5. H

    NMB, hatuna shida na pipi, tunataka huduma!

    Ni ajabu kuweza kununua vitu kama pp wakati huduma hata 15% haijafikia ni sawa ma kinunua meli wakati bahari huna
  6. H

    Wizara ya Nishati, yakanusha habari zinazodai mitambo ya Umeme inamilikiwa na Kampuni binafsi

    Kuna siku nilikwenda kuinana na mhasibu akanambia lipa hili deni la laki 4 bila ya riba ukiiclude na riba inakuka around 2 milion nimechoka
  7. H

    Wizara ya Nishati, yakanusha habari zinazodai mitambo ya Umeme inamilikiwa na Kampuni binafsi

    Mi nina deni hewa hivyo inanilazimu nitoe elf 15 mwisho wa mwezi kunakipindi ilisoma 0.2 unit kwa sasa napata 2 units
  8. H

    Wanawake Geita watoa machozi kwa Mama Samia

    Kipi kimewaliza kwa miaka 50+
  9. H

    CCM kwenda CHADEMA

    Hebu tueleze umeona hali gani huko toa ushuhuda
  10. H

    Haya yamemzika Lowassa kisiasa

    Kwa makosa hayo kwa nini hakukamatwa ,hivi tairi ikipata pancha tulaumu gari ? 1,elimu 2,elimu 3,elimu
  11. H

    Leo nina furaha ya ajabu, nimevuna 14 wa CCM

    Asante bosi wangu ,kuna mchuano mkali hapa kwangu na mama watoto nimeweza kwa d1 na mbunge bado mamvi meupe
Back
Top Bottom