Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) imeripoti kuwa imekua ikipokea na kufuatilia taarifa za ukiukwaji wa haki za binadamu zinazohusisha kushikiliwa kwa wananchi kwa muda mrefu bila dhamana au kufikishwa mahakamani katika maeneo mbalimbali nchini.
Imeripoti kwamba mkoani Shinyanga, zaidi...
NSSF imetangaza msamaha kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango na tozo kwa kuzingatia masharti yafuatayo;
Waajiri watakaolipa malimbikizo yote ya michango ya wanachama (principal amounts) kabla au ifikapo 31 Agosti 2026, na kuendelea kulipa michango kwa wakati mpaka ifikapo 31 Desemba, 2026...
Rais mstaafu wa Malawi, Lazarus Chakwera amewasili nchini usiku wa kuamkia leo Alhamisi Aprili 9, 2026, akiwa kama kiongozi wa ujumbe wa Jumuiya ya Madola.
Chakwera aliteuliwa mnamo Novemba 2025 na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Shirley Botchwey kuwa mjumbe maalumu wa jumuiya hiyo, na...
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu imeamua kuwa vifungu vya Katiba ya Tanzania na Zanzibar vinavyozuia mahakama kuhoji maamuzi ya Tume za Uchaguzi vinakiuka haki zinazolindwa chini ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu. Tanzania imeagizwa kufanya marekebisho ya kikatiba...
Tarehe 17 Februari 2026, Vodacom Tanzania iliandaa kikao cha “Media Connect” katika makao makuu yake chenye kaulimbiu iiliyohusu Kulinda Imani ya Wateja; Juu ya Usalama wa Mtandao, Faragha na Udanganyifu. Tukio hilo liliwakutanisha wadau kutoka sekta binafsi ya habari kwa lengo la kujadili...
Jana tarehe 17 Februari 2026, Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Tabora kupitia kesi ya Amina Mwaluko dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ilibatilisha utaratibu wa baadhi ya watu wakiwemo maafisa wa mahakama, na maafisa sheria wa sekta za umma kupewa uwakili bila kuhitimu Astashahada katika...
Wanasheria Tito Magoti na Bob Chacha Wangwe kupitia Kesi Na. 59 ya mwaka 2025 wameishtaki Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), wakilalamikia vitendo vya ukiukwaji wa taratibu za Uchaguzi...
Kufuatia Tume Huru ya Uchaguzi kutangaza Jumatano ya Tarehe 29 Oktoba 2025 kuwa siku ya Uchaguzi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametamka siku hiyo ya Oktoba 29, 2025 kuwa siku ya mapumziko. Tamko hilo ni chini ya Sheria ya Sikukuu za Kitaifa, Sura ya 35.
Leo Jumatatu tarehe 15/09/2025 Jeshi la Polisi la Tanzania limetoa taarifa kwa umma kwamba limekua likifuatilia taarifa zinazotolewa na Balozi aliyejiuzuru Ndugu Humprey Polepole toka mwezi Julai, 2025.
Jeshi limeeleza kwamba tuhuma hizo zimekua zikiashiria uwepo wa makosa ya jinai, ambayo...
Huduma ya mabasi ya mwendokasi iliyotarajiwa kuanza leo Septemba Mosi, 2025 katika barabara ya Mbagala, imesogezwa mbele ikiwa ni sababu ya kutokamilika kwa miundombinu muhimu kama mageti janja na kituo cha kujazia gesi.
Akizungumza lna gazeti la Mwananchi leo Jumatatu, Septemba mosi 2025 ...
Taarifa binafsi ni mali ya mhusika (mmliki wa taarifa). Haitakiwi kutolewa na mtu mwingine, kwani mhusika ndiye anayefahamu taarifa zake kwa usahihi, isipokuwa pale inapobidi kisheria au kwa ridhaa yake.
Ukusanyaji wa taarifa binafsi unatakiwa kufanywa na mamlaka au vyombo husika kwa kuzingatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.