Recent content by Haruna Suluo

  1. H

    Dondoo kuhusu biashara ya mitungi ya gesi

    Biashara nzuri ilasio fear kutaka kujua mtaji wa mtu
  2. H

    Aina ipi ya friji yenye milango miwili ambayo ni nzuri?

    Mwingine humu ni mfanyabiashara anakuelekeza kumbe ni dukani kwake ila ukweli wa uzuri na ubora wa friji nzuri tembelea majirani uone za kwao zinavyofanya kazi
  3. H

    Huna ajira? Pitia hapa, chukua hatua

    Yap ila ukitaka kitu cha kudumu kabisa isikusumbue nmefatilia ni 2 m. Hiyo ya 1m ni fake kamanda
  4. H

    Huna ajira? Pitia hapa, chukua hatua

    Labda MTU aanze na biashara ya chipsi na mishikaki hapo kidogo fresh sana
  5. H

    Huna ajira? Pitia hapa, chukua hatua

    Biashara ya juice ya miwa IPO poa sana ila ukipata mtaji tu wa machine mambo yote yanakua sawa Mimi sina mtaji wa mashine ila ningepata ningechangamkia hiyo fursa maana maeneo ni mengi sana ya kufanya hiyo biashara
  6. H

    Tangazo la kazi: Msimamizi wa biashara ya juisi ya Miwa

    Mawazo mazuri ila hajasema ni vijana a natafuta kijana sasa muhimu hata ungechukua wasiojua ukawafutrain inakua vizuri maana asiejua atatamani lakini ushalimit mwenye uzoefu aysee mkuu rahisisha mambo hapo
  7. H

    Mitumba bei ya Jumla; Wapi naweza kupata mitumba Grade A

    Mawazo mazuri hivi bwalo lipi zinakua ni nzuri ktk biashara za mitumba mfano una mtaji wa laki 5
  8. H

    Bei ya Bajaj mpya.

    Kwa sasa ni mil 7 mpaka 8 unapata mpya kabisa
  9. H

    Dola ya Kiislam yatangaza kuhusika na shambulio la Manchester, Uingereza

    Ndugu zanguni Mnapolumbana ktk masuala ya DINI basi kila mmoja amuheshimu meenzake na sio kutoleana na kukashifiana DINI sisi sote ni ndugu muislamu usitukane DINI isiyokua yako na mkristo usitukane DINI isiyokua yako na malumbano yenu yamefungamana na maneno yasio mazuri heshima kitu cha msingi...
Back
Top Bottom