Recent content by Harrison Kilai

  1. H

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Please natafuta iliki za kijani pia (Kenya) Namba yangu ni (WhatsApp) +255 759 000 109
  2. H

    Kamanda Sirro: Nimeona watu kwenye mitandao wakisema kwamba Polisi wamekuwa kama TRA

    Traffic akikusimamisha kwanza anakuomba leseni....halafu ndio anaanza kuzunguka gari lako akitafuta kosa..asilimia 97 leseni yako itarudi na risiti ya faini. Halafu wanavyozunguka gari taratiiibu na kwa mapozi.. Hawajui kuwa tuna majukumu ya muhimu ya kwenda kufanya? Tochi zimefanya watu...
  3. H

    Kamanda Sirro: Nimeona watu kwenye mitandao wakisema kwamba Polisi wamekuwa kama TRA

    Traffic akikusimamisha kwanza anakuomba leseni....halafi ndio anaanza kuzunguka garo lako akitafuta kosa..asilimia 97 leaeninyako itarudi na risiti ya faini. Halafu wanavyozunguka gari taratiiibu na kwa mapozi.. Hawajui kuwa tuna majukimu ya muhimu ya kwenda kufanya? Tochi zimefanya watu...
  4. H

    Kamanda Sirro: Nimeona watu kwenye mitandao wakisema kwamba Polisi wamekuwa kama TRA

    Nakumbuka siku za nyuma wakenya na waganda walikua wanapenda kusema kua polisi Tanzania ni freshi sana, wanakuita, wanakusalimia na 'kukuomba wakukamate'... Hizi ni baadhi ya jokes na utani wa miaka ya myuma... Siku hizi mambo yamegeuka, Kenya polisi wamekua rafiki wa raia, na Tanzania...
  5. H

    Rupia: Hazina ya Mjerumani

    Rupia na Hela za Zamani: Nimekuwa na habby ya kukusanya na kuhifadhi vitu vya zamani kwa mda mrefu sasa. Na hivi karibuni nikaanza kukusanya Rupia, Hela za matobo, Sarafu na noti za zamani za Tanzania, Sarafu za toleo maalum, etc za East Africa and Africa kiujumla, nchi za kiarabu, india and...
  6. H

    Rupia: Hazina ya Mjerumani

    Rupia na Hela za Zamani: Nimekuwa na habby ya kukusanya na kuhifadhi vitu vya zamani kwa mda mrefu sasa. Na hivi karibuni nikaanza kukusanya Rupia, Hela za matobo, Sarafu na noti za zamani za Tanzania, Sarafu za toleo maalum, etc za East Africa and Africa kiujumla, nchi za kiarabu, india and...
Back
Top Bottom