Habari za muda huu wana jamvi, naomben msaada na ushauri pia, nasumbuliwa sana na tumbo wakt wa siku za hatari, nini dawa yake? Je ni kweli mtu akizaa maumivu huwa yanaisha?
Yes haya mambo yapo, kuna mkaka ana miaka 38 hajaoa na hana mpango na kila akianzisha mahusiano yanavunjika! Anajiweza kifedha ila hana familia, nadhan amelogwa au mizimu ya kwao huko!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.