Recent content by HardToGetEasyToCarry

  1. H

    Wadada acheni hii kitu

    Wewe ni muuaji, usilipe ubaya kwa ubaya! Litakurudia
  2. H

    Mjadala wa Ushauri na tiba ya maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea)

    Naweza kunywa ata mara 2 zinadunda. Na linauma siku 4 mfululizo, sijui nifanye nn
  3. H

    Mjadala wa Ushauri na tiba ya maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea)

    Nimeenda mara ya kwanza walisema nna ovarian cyst bdae wakasema sina nlivyoenda kwa gyno
  4. H

    Mjadala wa Ushauri na tiba ya maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea)

    Habari za muda huu wana jamvi, naomben msaada na ushauri pia, nasumbuliwa sana na tumbo wakt wa siku za hatari, nini dawa yake? Je ni kweli mtu akizaa maumivu huwa yanaisha?
  5. H

    Huyu mdada ananiweka sana...

    Na hii corona tutaona meng sana😃😃🙌
  6. H

    Hivi Kuna watu wanafungwa wasioe au kuolewa ?

    Yes haya mambo yapo, kuna mkaka ana miaka 38 hajaoa na hana mpango na kila akianzisha mahusiano yanavunjika! Anajiweza kifedha ila hana familia, nadhan amelogwa au mizimu ya kwao huko!
  7. H

    Kila mwanamke ana side mbili

    Pisi kali, Very true, yaliwah kunikuta! Ila wanawake tuna uvumilivu sana jaman.
Back
Top Bottom