Kakakuona
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 345
- 201
Hapa Kuna dalili za Kupata mke wa mtu , hizi ndoa za siku hz ndio maana sitaki kuoa !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi Wanawake wa Siku hizi mnathamini zaidi ndoa & pesa kuliko Mapenzi na hii ndio Karma yake.. Wachache wapo wanajua thamani ya Mapenzi ...2020 Ni mwaka wa maamuzi magumuu uzuri una baraka kama zote
Kila mwanamke ana mwanaume mmoja Yule anampeenda ila jamaa anakuwa na mashauzi kama yote, hataki hata kumsikia
Na upande mwingine ana wanaume kibaaao wanampenda na kumtaka hataki hata kuwasikia.sema wakati mwingine inabidi ujikaze kwa ajili ya maisha na watoto.
Niulize how does it feel kuolewa na mtu usiempenda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeee,hainaga kujifunza hiyo, kama humpendi humpendi tu, labda utakua unapretend tu.Utajifunza kumpenda ndoani.![]()
Atakuoaje Sasa?How does it feel kuolewa na mwanaume asiyekupenda???
Tuanzie hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mbona 'walazimishwa' wengi hujikuta wapenda juu kwa juu, kutokana na jamaa linavyojali na kukupetipeti mubashara, uongo uongo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ni hiiWeeee,hainaga kujifunza hiyo, kama humpendi humpendi tu, labda utakua unapretend tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
May be, but for me naona ni ngumu kuingia kwa ndoa na mtu usiyempenda just because you may learn how to love him/her, nahisi will be more of pretending, unajichekesha machoni, huku moyoni umekasirika dah.Sheria ni hii
Marry sombody u love or love someone marry u.
That means we may learn how to love.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeolewa na mwanaume asiyekupenda?How does it feel kuolewa na mwanaume asiyekupenda???
Tuanzie hapa
Sent using Jamii Forums mobile app