Mwaka jana Wydad walitutoa kwa matuta tukasema tumetoka kiume wakatucheka sana. Afadhali watoke.. timu zenyewe wanasiasa sasa wanachukua misifa acha zitolewe tu [emoji28]
Kuna fundi namfahamu na namkubali sana na alishanifanyia kazi kadhaa ila za kawaida, sasa home kwangu nilijenga chumba kimoja self kwaajili ya wageni wangu na ni Hidden roof, najuta aisee, ni chumba kimoja tu lakini ngoma inavuja hatari. Mpaka sasa nimemaliza zaidi ya 200k kurekebisha ila bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.