Mwaka jana Mayele alifunga goal Vs Ihefu Yanga akashinda 1 bila baada ya round ya kwanza Yanga kupoteza 2-1. Keeper wa Ihefu alitaka kuanzisha mpira mchezaji wa Yanga akaja kwa nyuma akaucheza Mayele akaweka kambani. Sijui unakumbuka? Vipi lile goal lilikuwa match fixing?
Umemfunga Simba match 2 zote, umechukua ubingwa, umefika Fainali ya CRDB lakini bado Simba inakutesa.. maybe Simba ifutwe kabisa isiwepo ndio unaweza kuwa na amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.