Recent content by Hardlife

  1. Hardlife

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    🤣🤣🤣🤣
  2. Hardlife

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sichoki kuangalia marudio
  3. Hardlife

    FT: Simba SC 1 - 0 KMC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Kaluta Stadium -Arusha | 25.05.2024

    Akiongezea mkataba si mnavunja? Au mmezoea free agent?
  4. Hardlife

    FT: Simba SC 1 - 0 KMC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Kaluta Stadium -Arusha | 25.05.2024

    Mwaka jana Mayele alifunga goal Vs Ihefu Yanga akashinda 1 bila baada ya round ya kwanza Yanga kupoteza 2-1. Keeper wa Ihefu alitaka kuanzisha mpira mchezaji wa Yanga akaja kwa nyuma akaucheza Mayele akaweka kambani. Sijui unakumbuka? Vipi lile goal lilikuwa match fixing?
  5. Hardlife

    FT: Simba SC 1 - 0 KMC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Kaluta Stadium -Arusha | 25.05.2024

    Umemfunga Simba match 2 zote, umechukua ubingwa, umefika Fainali ya CRDB lakini bado Simba inakutesa.. maybe Simba ifutwe kabisa isiwepo ndio unaweza kuwa na amani.
  6. Hardlife

    FT: Simba 1-0 Azam FC | Muungano Cup | Final | New Amaan Complex | 27.04.2024

    Sasa mbona hajafunga kama hazuiliki?
  7. Hardlife

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Barca alishinda 6-1 aisee
  8. Hardlife

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Una hali gani huko ulipo? [emoji1787][emoji1787]
  9. Hardlife

    TANESCO Hamko serious hata kidogo

    Kuna siku utalia tu wewe jifanye kiburi. Kwanini usingeenda kwa meneja?
  10. Hardlife

    Napenda hili litokee. Je, Yanga mtakuwa upande gani?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Yanga mmepigwa tukio moja matata sana. Naona Mamelody huko Insta hawapumui kabisa
Back
Top Bottom