Ni katika wilaya ya Kyerwa,ajali imehusisha gari la TANESCO gari lililombeba waziri lilikuwa mbele.Hakuna majeruhi wala vifo
Tazama picha
Nita update hiui taarifa
Chanzo:http://www.ajiratime.com/2015/12/road-accident-in-kyerwa-kagera.html
Kwa wanaohusika na huduma ya search engine optimization seo nina hitaji kuingiza katika SEO maneneo kati ya 30 na 100 kwenye blog yangu naomba kujua Cost zake.
Nitajie cost kwa idadi ya maneno husika.
nitashukuru.
tafadhali taja bei hapa hapa.
Makanisa yaliyochomwa moto ni Pentecostal Assembilie of God (PAG) kata bakoba eneo la buyekera,Living Water International na Evangelical Assemblies of God (EAGT) kata ya Kibeta yote ya mjini Bukoba .Chanzo chake hakijafahamika ambapo wachungaji na viongozi wa kiroho wanaomba vyombo vya dola...
Mambo karibia yanaaza.
naviona vikundi vya burudani.
mitambo ya star tv imefungwa tayari,watakuwa live muda mfupi ujao.
redio kasibante fm ipo hewani tayari.
shughuli rasmi haijaanza,bado watu wanazidi kuingia hapa uwanjani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.