Recent content by Happylady

  1. H

    Mpenzi wangu simuelewi, na nimekuta picha yake FB imewekwa na msichana

    Naombeni ushauri. Nina mpenzi wangu tunakaribia kumaliza mwaka sasa. Kukutana kwetu ni mara chache sana kutokana na masomo. Kusema kweli tokea tumeanza mahusiano sijawahi pokea hata shs 10 toka kwake. Hapo mwanzo tulikuwa tunawasiliana vizuri kipindi nikiwa chuo kutokana na pesa ninayotumiwa...
  2. H

    Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

    dah ni kweli.hao wanapinga wanalijua hilo sema ukweli unauma.waambie
  3. H

    Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

    dah ni kweli.hata hao wanaopinga wanalijua hilo.ukweli unauma
  4. H

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    duh kifo hicho.usiporud
  5. H

    Maajabu: Eti hataki tufanye hadi nimuoe kwanza!

    ni mpaka uoe kama hutaki achana na mtoto wa watu
  6. H

    Matani

    muone vile kichwa kama tofali
  7. H

    Hodi JF members

    Asanten sana
  8. H

    Hodi JF members

    nashukuru kwa ukaribisho
  9. H

    Hodi JF members

    popote pale,coz nasikia kuka member JF ukikaa vibaya umeenda na maji
  10. H

    Hodi JF members

    Naomban mnipokee ,nakunielekeza njia
Back
Top Bottom