Recent content by Hapendeki

  1. H

    Nisaidieni kimawazo nipo njia panda.

    kaaazi kweli kweli
  2. H

    Basi la Ihowanja Kwetu laua sita!

    poleni sana wafiwa
  3. H

    mademu

    mademu ndio nini?
  4. H

    Mapenzi yetu yana miaka saba sasa............

    Mhh miaka saba yote na bado hajulikani kwenu ni kwa nini? ama ulikuwa unawasikilizia hao ndugu zako watasema nini kumhusu? Sasa kwa kipindi chote hicho kama ulijua kwenu hawamkubali na wewe ukakubaliana na wao kutomwoa kwa nini usingemwacha mapema sasa angekuwa ashasahau maumivu na kupata...
  5. H

    Natafuta mke mdogo

    Mke mkubwa ana taarifa kwamba unamsaka mke mdogo? ameridhia?
  6. H

    Ambaye yupo tayari

    kila la kheri !
  7. H

    Mwanaume asiyekwenda jando....

    Labda ujaribu kufanya, halafu urudi hapa utueleze kama utakuwa umepata madhara ama laa!
  8. H

    Madaktari Wa Tiba Mbadala Mbona Wamezidi Siku Hizi?

    Maradhi sugu nayo yameongezeka, hivyo watu wanatafuta alternatives za kutibu hayo maradhi na matatizo mbali mbali ya kiafya. Nao madaktadi wa tiba mbadala wameisoma jamii na matatizo yaliyoko katika jamii yetu mfano hospitali zetu na matatizo yake. Hivyo wanatafuta nafasi ya kujaribu dawa zao na...
  9. H

    Wanachuo wa tandala chuo cha ualimu

    mhhhh huna ratiba ya chuo hicho kinafungwa lini na kufunguliwa lini?
  10. H

    Irene Uwoya

    waacheni wafu wazike wafu wao!
Back
Top Bottom