Mhh miaka saba yote na bado hajulikani kwenu ni kwa nini? ama ulikuwa unawasikilizia hao ndugu zako watasema nini kumhusu? Sasa kwa kipindi chote hicho kama ulijua kwenu hawamkubali na wewe ukakubaliana na wao kutomwoa kwa nini usingemwacha mapema sasa angekuwa ashasahau maumivu na kupata...
Maradhi sugu nayo yameongezeka, hivyo watu wanatafuta alternatives za kutibu hayo maradhi na matatizo mbali mbali ya kiafya. Nao madaktadi wa tiba mbadala wameisoma jamii na matatizo yaliyoko katika jamii yetu mfano hospitali zetu na matatizo yake. Hivyo wanatafuta nafasi ya kujaribu dawa zao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.