Bwana Bello pensheni za Jan, Feb na March zililipwa Desemba 22 kabla ya xmass..mie nlikopa mama nkaendea likizo mishahara ilikuwa bado..huwa wanatoa in advance kwa sasa ni za April, May na Juni...nazo zimetoka...anachukulia postal bank....
Fanya homework kodogo kabla ya maamuzi....karibu mnibadili mawazo nimepitia ripori ya bosi wao SSRA 2014...hakuna mfuko unaololipa kama PSPF hao LAPF hawana hata wa kuwalipa NSSF labda ni shirika la nyumba na mbwembwe zoote za mijengo na wanachama lukuki wamelipa kidoonyoo.....
Xmass mama alikuwa anaringa pensheni za Januari alilipwa Desemba 22 mie hata mshahara ilikuwa bado alinikopesha nauli ya kwenda home.Mie nachangia PPF ila PSPF nawatamani kinoma......
Pensheni za April, Mei na Juni? Kumbe wanapewaga advance kabisa? Na huu mwezi si ndio ulikuwa na sikukuu wiki nzima? Mbona kama naona watu wanaonewa hapa......au ndio majungu ya kina NNSF na LAPF....anayejua mfumo wa pensheni wa PSPF hawezi ongea haya....nina mama nesi amestaafu....wenzie...
Si kila mtu anaweza kureport mambo ya fedha... hawa waandishi wetu hawa!!! Ukisoma magazeti ya kingereza ndo utaona utofauti/upotoshaji wa habari.... Hawa jamaa wameanza mwaka 1999 wanalipa watu walioanza kazi kuanzia miaka ya sabini... kuidai serikali hayo mabilioni ndo kuwa yameliwa?? Ndio...
:A S angel:Mkuu Mtagandwa... utakuwa na agenda ya siri?? Kwani uko Mkoa gani??? Huwa kuna challenges za kuendesha branch offices kwa taasisi nyingi?? Mitandao mara nyingi sio matatizo ya ndani... huwa ni ya service providers... Labda mkonga wa taifa (ule mradi white elephant) utasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.