Recent content by hanti

  1. H

    JamiiForums Tanzania Touareg petrol

    Asante mkuu kwa mawazo yako
  2. H

    JamiiForums Tanzania Touareg petrol

    Ndio ni volkswagen
  3. H

    JamiiForums Tanzania Touareg petrol

    Habari wakuu, Samahani, nahitaji kununua touareg ya petrol naomba msaada kwa wenye uzoefu nazo kujua uimara wake, upatikanaji wa spare, utengenezaji wake, uwepo wa mafundi na mengine mengi yanayohusu hizo gari. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Mashuka mashuka mashuka

    Picha nimetuma but hazifunguki sijui shida ni nn
  5. H

    JamiiForums Tanzania Mashuka mashuka mashuka

    Mashuka
  6. H

    JamiiForums Tanzania Mashuka mashuka mashuka

    Picha za mashuka
  7. H

    JamiiForums Tanzania Mashuka mashuka mashuka

    Nashindwa ku upload picha sioni button
  8. H

    JamiiForums Tanzania Mashuka mashuka mashuka

    Hiyo kumi kwa kumi ukiweka order utapata
  9. H

    JamiiForums Tanzania Mashuka mashuka mashuka

    Mashuka makubwa mawili ya 6x6 na foronya nne
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mashuka mashuka mashuka

    Habari wakuu, nauza mashuka pure cotton mazuri sana na hayachuji, 35kwa pic 1ya 6*6na foronya mbili, na 70,000 kwa mashuka 6*6 na foronya nne. Karibuni sana
  11. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FAHAMU:Jinsi ya kujiunga vifurushi vyetu vya @VODACOM kwa haraka.

    Asante, naomba shortcut ya kujiunga Internet bundle kama ipo
  12. H

    JamiiForums Tanzania Nishaurini kuhusu Nissan Pathfinder

    Asante kwa maoni wakuu
  13. H

    JamiiForums Tanzania Nishaurini kuhusu Nissan Pathfinder

    Habari za jioni wakuu, Ninafikiria kuigiza gari aina ya Nissan pathfinder Japan lakini kabla ya hapo naomba mnisaidie kujua kama haya magari yana matatizo na pia spare Zake upatikanaji na cost zikoje. Natanguliza shukrani za dhati
  14. H

    JamiiForums Tanzania Nimemuagiza gari kaingia mitini, zawadi Tshs milioni 2 kwa atayefanikisha kupatikana

    Pole sana, kwa ushauri wangu peleka hiki suala mamlaka ya mawasiliano kwa Msaada Wa polisi mtrace number ambazo huyu jamaa alikuwa anawasiliana nazo closely ili muwakamate hao watu wasaidie kumpata huyo tapeli. Usisahau kuliweka hill suala mikononi mwa Mungu akusaidie kwa kila hatua
  15. H

    JamiiForums Tanzania Pharmacy management system

    Habari wakuu, ninauza pharmacy management software kwa shillingi 1,500,000/= kwa atakayehitaji aniibox. Karibuni sana
Back
Top Bottom