Kampeni za Uchaguzi wa Rais, na Makamu wa Rais wa Serikali ya Wanafunzi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, zimeanza.
*Wagombea Urais ni watatu katika kinyang'anyiro hiki. Bw Egidy Mkolwe ambaye ni mmoja wa wagombea, anatarajiwa kuzindua kampeni zake katika ukumbi wa Yombo 4, hapa UDSM...