Recent content by Hans Wambura

  1. Hans Wambura

    Magufuli: Kuna mtu alikuwa anahamisha kati ya Tsh milioni 7-8 kila dakika. Yuko mikono salama...

    mmmmh sasa huyu ni binadamu au robot? na kama ni binadamu hana huruma na watu kwa kujizorea mapesa yote hayo
  2. Hans Wambura

    USHAURI

    UBORA WA ELIMU Nshukuru kauri ya waziri wa elimu juu ya ubora wa elimu kama kipaumbele chake cha kuanzia ktk majuku yake ktk wizara hii nyeti. kwangu mimi inanikera kuona watendaji tukio chini hatuzingatii ubora bali wingi na sifa za majigambo kwa kufaulisha wengi bila kujali mwanafunzi ana...
  3. Hans Wambura

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    NDUDU MARAISI TARAJARI napenda nishirikiane nawe kwa maoini yangu kama mtanzania ninae ishi na nilie pitia maisha mbalimbali hasa yale ya shule. Ninachotaka kumaanisha ni kauri mbiu ya ELIMU BURE.Binafsi sijaelewa ndo kusema elimu bure hii ni pamoja na MICHANGO INAYOTOZWA MASHULEN? EWE RAISI...
  4. Hans Wambura

    Mwanamke Dar ajifungua laptop

    ngugu zaaaaaaangu ni ya kweli au ni sukuma wiki twende
  5. Hans Wambura

    Kujiunga na Kidato cha tano 2014/2015

    majina ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano mbona hayaonekani kulikoni?
Back
Top Bottom