Hiyo ni manzese mtaa naoishi hata mi nilikuwepo cha zaidi walijaa wasanii wa bongofleva nami nilienda kupata burudani na wengi waliojaa ilikuwa kwaajiri ya fiesta ndogo hyo ila huku kwetu hakubarikiii
We kipofu kweli umerukia treni kwa mbele huyo aliopo na begi la pesa ni amit aliyekamatwa wakati wa vikao vya ccm dodoma afu huyo aliye na lowassa ni mgombea ubunge jimbo la ilala kupitia chadema mustafa asanali punguza kushear upuuzi
Kuhudhuria mambo ya wanaccm tuu hyo ni sababu tosha hebu kumbuka wiki iliyopita kulikuwa na show zawahusu wanaccm huyo kiba mbona alikuwa mstari wa mbele hyo ya millioni120 ni utunzi wako kama wanapropaganda mnavyoendelea kutunga mambo pia kutukana ndio malezi yako tukana tuu
Lete ushahidi au we ukisoma thread kwako ni ushahidi tuu??? Tunataka ushahidi kutoka kwake yeye au waliohusika kwenye hiyo deal tofauti na hapo mtakuwa mnaendeleza tabia ya watanzania wengi kuwa watabiri............hoja inakuja na ushahidi hiki kitu umekianzisha wewe ndio unatakiwa utoe ushahidi...
Nikupe pole tu kwakupenda chongo afu unasifia kinaona vizuri mi ni mpenzi wa mpira siyo shabiki wa team special tz kwakuwa nyote mmejaa uswahili afu mpira mbovu kila kukicha mnanunua wachezaji baada ya mwezi mnavunja mkataba yaan mpo careless mno ndio maana mpira wenu hauna future au plan b...
Lete hoja ndugu kuchukuliana poa ndio???? Hiyo ya millioni 120 ni uzushi kwakuwa nikikuomba ushahidi huna wala yeye hajasema hizo kauli ila tuache hilo kiuhalisia alikiba nae ni mmoja ya watu washiriki sana wa hafla za ccm kama yupo upande wa ukawa basi ajionyeshe wala asiogope nakumbuka enzi za...
Tanzania hamna wa kimataifa promo za magazeti zinatupotosha sana ila mpira wetu ni uleule tuu na hawa wachezaji tunaowanunua kwakusoma sifa google zinatudumaza .
Mi nilidhani unauhakika hakuwepo na sababu unajua kumbe unabahatisha kwakuwa hukumuona jukwaani tuu mbona kiba ni muudhuliaji mzuri tuu wa mambo ya ccm siwezi kumlaumu hata diamond anatetea tumbo lake ila anajitengenezea mazingira magumu kwani sasa hvi wananchi wanahamu sana na mabadiliko kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.