Kwangu pia nilipewa sharti la kumleta kwanza amuone kisha ndio ampitishe(maana nilishaanza Choko Choko za kutaka kumuongezea mke,)ila hili sio tatizo, tattizo hapo utakapo mpeleka halafu asimpitishe wakati kidume ushachagua ,Jua tu litakuwa bifu la kusambalatisha familia,mtege Mwambie akutafutie...
Fanya uchunguzi Wa kijasusi kisha ukipata jibu chukua maamuzi kama unayo,ila usimfuate Atakuona Fala Na sio kanuni za mwanaume kwenda kuomba huruma Kwa mgoni wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.