Habari,
Hii gari aina ya volkswagen Golf, engine yake imenok inahitaji ovehaul.
kwa anaehitaji tuwasiliane 0626947625
Gari ipo Mbezi Beach- Shule
Price ni 3.3m
Natafuta business partner tufungue kijiwe cha kuosha magari hapa mjini Dar es Salaam. Mimi nina Pressure pump na vaccum cleaner.
Tuchange fedha tupate eneo tuanze mdogo mdogo, aliye tayari au mwenye mawazo zaidi nakaribisha maoni
Au nichek hapa 0685875749
Yaani wale wachina wa KEDA- CHALINZE walikuwa wanampa 500k asee hongera yake me walikua wananipa 300k punguza NSSF hapo na KPI zao za kijinga ..kwa mwezi inakuja 200+ ....
Management traine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.