Kweli hawa ndugu zetu kama wanaenda dom kupiga porojo na mambo yasiyo na maana kwa taifa na unaweza kusema kila wakienda dom na wakirudi ndo hali inakuwa mbaya zaidi kwa watu wa chini.
Kuna huo wimbo,na kuna neno "Mheshiwa" mi naona kero sana inatakiwa ifike mahali vifutwe kabisa,mtu anafanya kila aina ya uchafu anaitwa mheshimiwa,anafisadi mabilioni anaitwa mheshimiwa.
Kijana hataki mchezo huyo ,ila baada ya matukio haya wabunge wa kenya wanaweza anza kubadilika na wanaweza anza kuleta maendeleo katika nchi maana wanaona vijana hawataki mchezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.