Kipekee nipende kumpongeza prof. Mkenda Kwa namna anavoitendea vema Wizara ya Elimu, lakini pia kwa kutengeneza mtaala mpya wa elimu.
Mathalani na pongezi hizo nipende kutoa ushahuri kwamba kama ikiwapendeze masomo ya STEM, Digital na ICT pamoja na Agriculture yangekuwa ya lazima kusoma...
Ni ukweli usiopingika kwamba ndugu na marafiki zetu wa karibu ndio huwa wanatuumiza sana kuliko mtu Baki, huu wimbo una ukwel kwa asilimia zote watu ni wengi ila wenye ubinadamu ni wachache
Kwanza nimpongeze tume kwa kutekekeleza majukumu yake bila woga, ila niipe pole kwa kukanganyikiwa na kesi za viongozi.
Kwa uelewa wangu mdogo ninaoweza kusema kwa upande mmoja wa Sheria makonda hayupo sawa maana ameikandamiza hakika ya mshtakiwa, lakini kwa upande mwingine ni sahihi kwa...
Wanachokifanya wajibu ni jambo jema sana, Mimi nadhani serikali Ione aibu kutokana na makosa yanayonyooshewa vidole mpaka n mashirika ya kiraia. Lakini pia CAG anapaswa kuwa muwazi na muwajibikaji kwa Kila hatua ya tathmini anayoifanya ili kuzuia upotevu wa pesa za serikali hasa katika manunuzi...
Watumishi wasio wajibika ndio mzigo wa taifa hasa katika maendeleo ya wananchi. Mawaziri wenye dhamana inabidi wawachukulie hatua za kinidhamu watendaji hao maana ndio watakao mharibia sifa nzuri Rais katika utendaji wake
Kiukweli nimpongeze sana mama yangu Khadija kopa, Mimi nasikiliza sana nyimbo zake na nyimbo ambayo naikubali ni Ile aliyofanya na diamond pamoja na aslay.
Mathalani na hapo ni jasiri na ana maono na mabinti wa sasa ndo maan akatoa ushuhuda na kuwakanya mabinti wenye mawazo kama hayo.
Mimi nadhani hatushinikizi vita ila huko tunakokwenda jambo litatokea. Serikali inapaswa kuweka kodi zinazoeleweka na sio kupachika kodi za ajabu na kuwanyonya wananchi. Ni vema wangeongeza kodi kwenye vitu hatarishi kwa afya kama pombe na sigara.
Lakini pia kabla ya kuongeza kodi wangepaswa...
Mimi nadhani serikali inapaswa kuweka mkakati wa kuwashinikiza vijana kujihusisha kwenye siasa kwa kuondokana na mawazo yasiyo sahihi kwamba siasa ni kwaajili ya wazee. Lakini pia kuwepo kwa uwazi na uwajibikaji kwa tume huru ya uchaguzi ikiwezekana waweke vipaumbele zaidi kwa vijana wenye Nia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.