Recent content by Hamisi Mhoja

  1. Hamisi Mhoja

    Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

    Habari wadau wa uchumi!Mimi nahitaji kufahamu juu ya fixed akaunti kwa Muda wa Miezi sita naweza kupata faida ya asilimia ngapi kwa milioni saba kati ya NMB na CRDB,Nimeamua kuuliza humu sababu niko mbali na ofisi za Benki.
  2. Hamisi Mhoja

    Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    Habari Wapendwa! Nahitaji kupata ufahamu angalau kidogo kuhusu biashara ya vifaa vya ujenzi ninaweza kuanza na mtaji kiasi gani kwa kuanzia tu yaani kiwango cha mwanzo kabisa. Niko maeneo ya Nzega Tabora.
  3. Hamisi Mhoja

    Biashara katika kipindi cha Corona

    Igunga Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Hamisi Mhoja

    Biashara katika kipindi cha Corona

    Ndiyo nimewahi kufanya,Hata biashara ya nafaka niliwahi kufanya ila sanasana Nimefanya biashara ya duka la rejreja Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Hamisi Mhoja

    Biashara katika kipindi cha Corona

    Asante kwa Ushauri Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Hamisi Mhoja

    Biashara katika kipindi cha Corona

    Jamani nina Tsh. Milioni 5 na nina mpango wa kununua Mpunga. Je, kutoka na ugonjwa huu nitapata faida baada ya Miezi 6? Naomba ushauri Wafanyabiashara wenzangu.
  7. Hamisi Mhoja

    MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

    Jamani naomba kufahamu ukweli kuhusu Kilimo cha umwagiliaji cha mpunga nimepata taarifa sasa nahitaji kujua zaidi taarifa nilizopata nikwamba.kukodi hekta 1 ni 800,000/=Kulima 100,000/=,kurudia kulima 80000/=, Kupanda 180000, Mbolea 300000, kuvuna na mashine 180000 JUMLA ni kama 1700000.kwa kila...
  8. Hamisi Mhoja

    Mashine ya kusaga, kukoboa mahindi na mpunga

    Jamani bei ya motor naomba kufahamu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Hamisi Mhoja

    Biashara ya kusafirisha abiria

    Jamani naomba ushauri kuhusu biashara ya kusafirisha abiria nilkuwa na mpango wa kununua hiace ambayo ni used nasikia Dar kuna yard zinauza hiace used. Basi naomba ukweli kuhusu hili la hizi hiace kama zipo na bei zake, na kingine je hii biashara inalipa? Nipo Bukoba Vijiijini, Nimeweka picha...
  10. Hamisi Mhoja

    Umuhimu wa "Mentor" katika biashara

    Asante sana! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Hamisi Mhoja

    Nataka kuchukua mkopo wa milioni 15 au 20 benki

    Safi sana we ndo mwenye ushauri mzuri kuliko wengine kukatisha tamaa tu ndyo maana sis Watanzania tuko nyuma sana hatuwezi kuthubutu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom