Recent content by Hamisi M

  1. H

    Tupende, tusipende: Tanzania inanyemelewa na udini!

    Redio za kidin si R. IMAN pekee sikiliza WAPO fm, radio MARIA na nyine utafaham na yanayosemwa upande wa pili
  2. H

    Bodi ya Mikopo (HELSB); Hii imekaaje?

    Ndugu mazingira kama nilivyoeleza hapo juu si rafiki kwa internet, na wanafunzi wao kama wao hawana uwezo wa kutatua tatizo hili ispokuwa SIRIKALI. Je? Itakuwa katalyst ya kupelekea watoto wa masikini wasisome au vp?
  3. H

    Bodi ya Mikopo (HELSB); Hii imekaaje?

    OLAS- mfumo huu wa kuomba mkopo kwa njia ya mtandao (internet) ni mzuri lakini hamkufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuanzisha utaratibu huu kwa sababu zifuatazo; <1>% kubwa waTz wanaishi vijijini ambapo huduma za umeme ni tatizo na vijiji vingine hakuna umeme kabisa, je? Vyombo...
  4. H

    Madai ya Wazanzibari 15 na Yasemwavyo kuhusu Muungano na Hatima Yake

    Kwakuwa wamemua kuulinda kwa maslahi yao binafsi wakumbuke kuwa utatuzi wa kero na takataka za huu muungano feki ndio ndio njia ya busara na sahihi zaidi. Wasisubiri yalomkuta ZIN AL ABINE na wenzake.
  5. H

    Madai ya Wazanzibari 15 na Yasemwavyo kuhusu Muungano na Hatima Yake

    Napata mkanganyiko, ikiwa kuna uhalali wa muungano kwanini mkataba unabaki kuwa siri na hauwekwi wazi kwa wanachi. Kwanini? Viongozi wa ngazi za juu ndio wanaoupigiadebe muungano wakati masuala waliyokubaliana waasisi wa muungano hawayaweki hadharani. Kwa nini kila mwaka ktk sherehe z muungano...
  6. H

    Wanachuo 300 wajiunga CHADEMA

    iMEKAA VZRI MNOOOOO!! Popote pale duniani mabadiliko huletwa na wasomi. Mapinduzi ya TZ yataletwa na wasomi kama watamua kujitenga na CCM. Vijana walioko vyuo vikuu wakiungana kwa pamoja mapinduzi ya kweli yatapatikana.
  7. H

    Zitto apendekeza Dowans itaifishwe; Serikali yapinga! Mgao waendelea...

    si wabunge wote wa CHADEMA wanashiriki katika mikutano hiyo. Hivyo kutohudhuria si sababu ya kudhani kuwa ameasi chama
Back
Top Bottom