Aina za ndoa...
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana!
2. NDOA YA MIHEMKO
Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati mume18 mke 16. Huvunjika baada ya miaka 3 au 4 ya...
Toka lini na wewe ukawa mtabiri? tuache siasa kwenye professional.
Prof Kabudi ni mtu makini sana na alistahili kuwa hapo ili alitumikie Taifa letu. Tumuunge mkono bila kujali itikadi ya vyama vyetu
Prof Palamagamba Kabudi mtaalam wa sheria Afrika na duniani ambae alikuwa ni Lecturer wa sheria UDSM pia mwanasheria mkuu wa chuo UDSM.
Anaenda kulitumikia Taifa lake ndani ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Mimi naweza sema Prof anaenda kuwa mwarobaini kwa wanasiasa wafanya fujo za...
Mimi Hamis Abeid (mr amazing) naungana na watanzania wenzangu katika kampeni ya
"PIGA CHINI MICHEPUKO"
ili kulinda heshima ya mahusiano na kupunguza kasi ya maambukizi ya magonjwa.
PIGA CHINI MCHEPUKO WAKO!
mwanzilishi wa kampeni
Change is never easy. Work hard at what you want till it becomes part of you. No quick fix solution. Do it till it's hard for you to go back to your old way of doing things.
#HAPAKAZITU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.