Let me tell you bro,
Usiwe na haraka naye, boresha mawasiliano naye na kama si mbali sana, basi mtembelee over the week end moja mbili hivi, ufikapo huko chunguza vizurii na utapata uhakika,
Ukiridhika na utakayo yaona basi usiku amka na usali swala ya maongozo hakika allaha atakufanyia wepesi.