Kwa kiasi kiku bwa madawa ya kienyeji(local medicines) yanamchango mkubwa kwa wamama wajawazito kwani mama mjamzito anapofikisha miezi kadhaa karibia na kujifungua husumbuliwa na matatizm mbali mbali ambayo hata hukitumia modern medicines hakuna matunda yeyote yanayo patikana.
Mambo ya magazeti hayo yapo tu mbona yanga au kandambili walisajili Jagi(Jaja) na hakuna matunda yeyote ambayo aliyaonesha katika timu hiyo wakati mwanzo kabisa walianza kumnadi kwenye media mabali mbali na mwishoweee kumbe ni takataka tena ya muda mrefu Ila kwa moto huu wa msimbazi cyo media...
Yaah PASCO kwa unacho ongea ni sahihi kabisa kwani wengi wa wananchi ni Ignorants na hawataki kufunguka kwa wanacho kiona na kusikia ila kwa hili tuna hiachia serikari yenyewe na bunge lake ili tujionee kitakacho tokea maana hiyo serikari si ndiyo inayo tuongoza sisi na hao waliochukua hizo hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.