Habari wakuu, ninampango wa kununua mashine ya kukamua juice ya miwa naombeni mawazo yenu, ushauri na changamoto.
Malengo yangu ninunue mashine niikodishe kwa kijana, nitafute site kariakoo Dar then huyo kijana awe ananilipa kwa siku.
Aliye na ushauri jmn naomba msaada wa mawazo plz ndy kwanza...
Sizani ka alikuwa ananipenda sana maana kanikwaza yeye nmemzingua tuachane kakausha now hajibu sms ya kuhusu mahusiano ila kwa issue nyingine ukimuuliza anajibu vzr tu
Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn[emoji23][emoji849] sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje [emoji23] nipeni connection za wataalam [emoji16]
Anyway nyiee mnatumia mbinu gani kumsahau mtu mlieachana ikiwa unampenda? Hatujazaa, hatujafanya maendeleo yoyot alikuwa mpenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.