Recent content by hamashod

  1. H

    Nimeweza kushawishi sina deni

    Wandugu watanzania salaam. Sina nafasi katika majukwaa wala uwezo kuongea na media LIVE kueneza ukweli. Knowledge is power,nimetumia resources nilizonazo nimefanikisha zaidi ya watu 500 kupiga kura kwa Lowassa oktoba 2015. Hawa ni pamoja na jirani zangu, wanasport wenzangu, classmates wangu...
  2. H

    Haya mazoezi ya ndege za Kijeshi mjini (Dar) yanatia shaka kipindi hiki!

    Sasa naona wameamua kutumia mbinu ya Museveni.Ndege za kivita zinaruka anga ya dar, ni ndege zile zinazopiga kelele kubwa sana.Yote hayo ni kutisha wananchi wawe na uwoga wasipigie kura ukawa.
  3. H

    Majengo ya chuo yanayokodishwa yanahitajika

    Tunahitaji majengo yanayofaa kwa chuo hapa DSM.Muhimu yawe ndani ya DSM,eneo tulivu lisilokuwa na kelele za watu au magari.Pia iwe rahisi wanafunzi kufika- liwe jirani na daladala zinapopita. Wasiliana na mimi namba 0798 80 27 32. THANX
  4. H

    Fomula ya kuwezesha vijana wote kujitokeza kupiga kura yagunduliwa

    Wanajamii wote nawasalim Naomba pia mfikishe salamu kwa watanzania wote. Nirudi katika mada: Lile tatizo la watanzania hususani vijana wenye kadi ya kupiga kura kushindwa kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi dawa yake IMEPATIKANA. Mimi pamoja na wenzangu tisa (9) tumefanikisha ugunduzi wa...
  5. H

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    CUF ni taasisi kama zingine.Uhai wake,ukuaji na uimara wake kamwe haukutokana na Lipumba bali ni matokeo ya upeo wa watanzania kuhitaji mageuzi,mshikamano na umoja wa wanachama wa CUF.Nitakuwa natenda dhambi kuamini kuwa eti Prof Lipumba kujiuzulu ni pigo kwa ukawa ktk kushinda uchaguzi wa...
  6. H

    Kutoka Kariakoo: Watu waliovalia mavazi ya CCM wazomewa na machinga

    Watu watatu wazima wanaume wamevalia kofia za CCM na na picha ya mh Magufuli mfano wa Kitambulisho kila mmoja wanapita karibu na machinga hapa jariakoo jirani na sheli ya Big Bon. Kundi la wamachinga na boda boda wanawafuata wakiwazomea kwa sauti boda boda zinapiga honi wakiwafuata wakiimba...
  7. H

    Bei za Mabelo ya mitumba zikoje Bongo? Nataka kusafirisha kutokea huku USA

    inalipa ila uwe very selective unalenga watu wa daraja gani.Nashauri leta viatu vya kike na vya grade A hata mimi ntakuwa mteja wako niuzie beli zima.Email:hamashod@gmail.com
  8. H

    Hoja za Dr. Slaa Siyo Rocket Science!

    Hawajajiandaa kuwakomboa watanzania,angalia mfumo wao,je unawapa ahueni watendaji wao km makatibu wa wilaya na mikoa kulipwa mishahara mizuri.Tazama viongozi wa Taifa wanalipwa mishahara,posho za safari wakiwa mikoani ila watendaji wa mikoani hawalipwi na km wanalipwa ni kiduchu.Hivi kweli...
  9. H

    Jengo walilopanga CHADEMA kama Ofisi, Mtaa wa Ufipa Kinondoni ni la Nani na kodi yake ni kiasi gani?

    Matumizi mabaya ya CCM hayahalalishi Chadema kutumia vibaya ruzuku yake.Chadema wanaotaka kushika dola ndio wanatakiwa waoneshe nidhamu ya hiyo rasimali fedha kwa wanachama wake na wa TZ kwa jumla ili waaminiwe.Kama TSH 480ml wanashindwa hata kujenga jengo lao wakipewa nchi yenye rasilimali kila...
  10. H

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Dk. Slaa amemzungumzia Lowasa zaidi ya mara moja kwa maneno yake si kunukuliwa kuwa Lowasa sio muadilifu kabisa.Napata wakati mgumu nikikumbuka kuwa kuna watanzania wamekufa,kujeruhiwa hadi wengine kupata ulemavu wa kudumu katika mikutano ya Chadema iliyokuwa ikipinga rushwa,ufisadi,ukandamizaji...
  11. H

    Mbunge wa Kahama kupitia CCM, James Lembeli ajiunga na CHADEMA rasmi

    Katika siasa kwanza lazima uwe na maslahi yako kwanza kisha wengine wanafuata,sio vibaya.Ninachokiona hapo ni jinsi mzee Lembeli anavyo eleza kwa wepesi hiyo rushwa katika iliyokuwa CCM yake.Angeweza kutuambia kwanza namna alivyo pigania kukomesha rushwa CCM,haswa kwenye vikao vyao vya...
  12. H

    Channel Ten, Yule mgombea aliyekuwa na ushawishi yuko wapi?

    Nikueleweshe, Magufuli hakuwahi kumkapenia Raila,alialikwa katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni kama muwakilishi toka Tanzania,ni desturi katika siasa kualika wageni toka sehemu tofauti wakati wa uzinduzi wa kampeni ya vyama vyao.Tofautisha kushiriki ufunguzi rasmi wa kampeni kama mgeni...
  13. H

    Channel Ten, Yule mgombea aliyekuwa na ushawishi yuko wapi?

    Nikueleweshe, Magufuli hakuwahi kumkapenia Raila,alialikwa katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni kama muwakilishi toka Tanzania,ni desturi katika siasa kualika wageni tokasehemutofautiwakatiwa
Back
Top Bottom