Wandugu watanzania salaam. Sina nafasi katika majukwaa wala uwezo kuongea na media LIVE kueneza ukweli. Knowledge is power,nimetumia resources nilizonazo nimefanikisha zaidi ya watu 500 kupiga kura kwa Lowassa oktoba 2015.
Hawa ni pamoja na jirani zangu, wanasport wenzangu, classmates wangu...
Sasa naona wameamua kutumia mbinu ya Museveni.Ndege za kivita zinaruka anga ya dar, ni ndege zile zinazopiga kelele kubwa sana.Yote hayo ni kutisha wananchi wawe na uwoga wasipigie kura ukawa.
Tunahitaji majengo yanayofaa kwa chuo hapa DSM.Muhimu yawe ndani ya DSM,eneo tulivu lisilokuwa na kelele za watu au magari.Pia iwe rahisi wanafunzi kufika- liwe jirani na daladala zinapopita.
Wasiliana na mimi namba 0798 80 27 32.
THANX
Wanajamii wote nawasalim
Naomba pia mfikishe salamu kwa watanzania wote.
Nirudi katika mada: Lile tatizo la watanzania hususani vijana wenye kadi ya kupiga kura kushindwa kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi dawa yake IMEPATIKANA.
Mimi pamoja na wenzangu tisa (9) tumefanikisha ugunduzi wa...
CUF ni taasisi kama zingine.Uhai wake,ukuaji na uimara wake kamwe haukutokana na Lipumba bali ni matokeo ya upeo wa watanzania kuhitaji mageuzi,mshikamano na umoja wa wanachama wa CUF.Nitakuwa natenda dhambi kuamini kuwa eti Prof Lipumba kujiuzulu ni pigo kwa ukawa ktk kushinda uchaguzi wa...
Watu watatu wazima wanaume wamevalia kofia za CCM na na picha ya mh Magufuli mfano wa Kitambulisho kila mmoja wanapita karibu na machinga hapa jariakoo jirani na sheli ya Big Bon.
Kundi la wamachinga na boda boda wanawafuata wakiwazomea kwa sauti boda boda zinapiga honi wakiwafuata wakiimba...
inalipa ila uwe very selective unalenga watu wa daraja gani.Nashauri leta viatu vya kike na vya grade A hata mimi ntakuwa mteja wako niuzie beli zima.Email:hamashod@gmail.com
Hawajajiandaa kuwakomboa watanzania,angalia mfumo wao,je unawapa ahueni watendaji wao km makatibu wa wilaya na mikoa kulipwa mishahara mizuri.Tazama viongozi wa Taifa wanalipwa mishahara,posho za safari wakiwa mikoani ila watendaji wa mikoani hawalipwi na km wanalipwa ni kiduchu.Hivi kweli...
Matumizi mabaya ya CCM hayahalalishi Chadema kutumia vibaya ruzuku yake.Chadema wanaotaka kushika dola ndio wanatakiwa waoneshe nidhamu ya hiyo rasimali fedha kwa wanachama wake na wa TZ kwa jumla ili waaminiwe.Kama TSH 480ml wanashindwa hata kujenga jengo lao wakipewa nchi yenye rasilimali kila...
Dk. Slaa amemzungumzia Lowasa zaidi ya mara moja kwa maneno yake si kunukuliwa kuwa Lowasa sio muadilifu kabisa.Napata wakati mgumu nikikumbuka kuwa kuna watanzania wamekufa,kujeruhiwa hadi wengine kupata ulemavu wa kudumu katika mikutano ya Chadema iliyokuwa ikipinga rushwa,ufisadi,ukandamizaji...
Katika siasa kwanza lazima uwe na maslahi yako kwanza kisha wengine wanafuata,sio vibaya.Ninachokiona hapo ni jinsi mzee Lembeli anavyo eleza kwa wepesi hiyo rushwa katika iliyokuwa CCM yake.Angeweza kutuambia kwanza namna alivyo pigania kukomesha rushwa CCM,haswa kwenye vikao vyao vya...
Nikueleweshe, Magufuli hakuwahi kumkapenia Raila,alialikwa katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni kama muwakilishi toka Tanzania,ni desturi katika siasa kualika wageni toka sehemu tofauti wakati wa uzinduzi wa kampeni ya vyama vyao.Tofautisha kushiriki ufunguzi rasmi wa kampeni kama mgeni...
Nikueleweshe, Magufuli hakuwahi kumkapenia Raila,alialikwa katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni kama muwakilishi toka Tanzania,ni desturi katika siasa kualika wageni tokasehemutofautiwakatiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.