Recent content by hamada umelewa

  1. hamada umelewa

    PostGE2025 Wasifu (CV) wa Naibu Waziri wa Elimu, Wanu Hafidh Ameir sijauelewa kabisa

    Naibu waziri haramu wa elimu ana elimu mbalimbali yaani ana elimu ya hapa na pale🤔🤔
  2. hamada umelewa

    PICHA: Wauaji wa vijana kwenye maandamano wakijitapa mtandaoni

    Mhe rais ni nani? Muuaji hatakiwi kuitwa mheshimiwa hata siku moja
  3. hamada umelewa

    PostGE2025 Voices from Within: Mauaji ya wananchi Dar, tusiwalaumu Polisi. Je Amri ya kuua Ilitoka kwa muuaji huyu?

    Umeandika mengi ila nimesoma paragraphs za mwanzo nilipoona mzigo wote unataka kumwangushia Chalamila nikaamua niishie hapo. Kwa Dar unamsema Chalamila Mwana alikuwepo? Arusha,Mbeya,Njombe,Geita na kwingineko yeye ndo alitoa amri?
  4. hamada umelewa

    Nini kimemkuta Dkt. Dorothy Gwajima hajawa mbunge?

    Hata hapo awali hakuwahi kugombea ubunge wala hakuwa mbunge wa viti maalmu,alikuwa mbunge wa kuteuliwa na rais.
  5. hamada umelewa

    GE2025 Samia: Ukiamka mgonjwa oktoba 29 mtaarifu mjumbe ufanyiwe mpango ukapige kura

    Nadhani mwaka huyu kura zitapigwa kwa lazima,yaani itakuwa unakutwa nyumbani unakula fimbo tano unaenda kituoni kupiga kura.
  6. hamada umelewa

    Ni kweli Serikali Imeshindwa kabisa kumthibiti Zumaridi?

    Imeshindwa kumdhibiti Zumaridi mkuu yaan Zumaridi la kizimjob kwa nini unataka imdhibiti Zumaridi wa Mwanza? Adhibitiwe Zumaridi wa Kizimjob kwanza mwenye degree ya ususi kutoka Pakistan
  7. hamada umelewa

    GE2025 Samia: Majaliwa ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini

    Kikwete ni "RAIS" Samia ni "rais"
  8. hamada umelewa

    GE2025 Samia: Majaliwa ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini

    Unatoka kuwa PM unakuwa naibu pm hayo si matope! Anawadanganya wana Ruangwa anajua jinsi walivyo mataahira na ndio maana wamemshangilia alipowadanganya. Baada ya pm ni vp kama kweli anathamini alichokifanya angemteua awe mgombea mwenza ili baada ya uchaguzi awe vp tofauti na hapo ni utapeli wa...
  9. hamada umelewa

    GE2025 Samia: Majaliwa ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini

    Uongo huo atakuwa msaidizi gani kwa nafasi gani? Huyu muongo sana
  10. hamada umelewa

    Afrika inaamka sasa; Malawi, Rais Chakwera ameshindwa kura za Urais baada ya mhula mmoja tu madarakani

    Yeye mwenyewe wakati anaingia madarakani alimshinda rais aliyekuwa amekaa madarakani kwa muhula mmoja.
  11. hamada umelewa

    GE2025 Polepole: Mzee Wasira alimfuata Magufuli kuomba ateuliwe kuwa Waziri Mkuu

    Alipewa uwaziri mkuu? Waziri mkuu lazima awe mbunge wa kuchaguliwa.
  12. hamada umelewa

    Polepole apuuzwe, tuliosoma naye tulimuita Polisi/Usalama

    Kwa hiyo kwa sababu aliripoti tabia zako za wizi ndo sisi tumpuuze!
Back
Top Bottom