Kwani ashaapishwa hadi useme hajapigiwa kura na bunge? Mchakato bado na kwa kuwa vikao vimeanza jana jina litapelekwa na kama kawaida ya bunge letu atapata 101%
Nadhani hii nchi tuna tatizo kubwa sana ambalo hata sisi huenda hatulijui. Ukiachana na ukweli kwamba hapo juu wote hawafai ila ni ajabu kwamba hadi Jokate naye anawekwa kwenye hiyo list!!!! Kwamba siku moja wa kuitwa mama aking'ata shuka huyo Jokate awe rais wa nchi hii🤭🤭
Mauji,utekaji,ulawiti,utapanyaji wa fedha za walipa kodi,kukopa kopa hovyo,upendeleo,kurasimishwa Kwa uchawa,incompetence,rushwa kubwa kubwa,kujiweka madarakani kwa nguvu n.k
Haya mataahira hata kusoma vitu vidogo vidogo hayajui,Mnyika aligombea ubunge Kibamba mwaka 2015 na akashinda. Hakugombea ubunge mwaka 2020 ili afanye kazi ya ukatibu mkuu kwa ufanisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.