Recent content by hamada umelewa

  1. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Kutoka Hadhi ya akina Warioba, Mpango, Hadi Ndejembi asiye na uzoefu wa Siasa walau wa miaka 10, ELIMU ya Hapa na Pale, NCHI inachezewa sana hii

    Hakuna cheo kinaitwa "makamo wa rais" ni makamu wa rais. Au na wewe ni "lizanzibari"? maana vizanzibari ndo vinaitaga makamo.
  2. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Bunge halikushiriki uteuzi wa makamu wa rais?

    Kwani ashaapishwa hadi useme hajapigiwa kura na bunge? Mchakato bado na kwa kuwa vikao vimeanza jana jina litapelekwa na kama kawaida ya bunge letu atapata 101%
  3. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Kikao cha Dharula: Kabudi atateuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Kabudi ni muAnglicana
  4. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Hii ndio list ya candidates wanaomfaa Rais kukaimu nafasi ya Vice President, Hawana Dramas, watakwenda nae bega kwa bega

    Nadhani hii nchi tuna tatizo kubwa sana ambalo hata sisi huenda hatulijui. Ukiachana na ukweli kwamba hapo juu wote hawafai ila ni ajabu kwamba hadi Jokate naye anawekwa kwenye hiyo list!!!! Kwamba siku moja wa kuitwa mama aking'ata shuka huyo Jokate awe rais wa nchi hii🤭🤭
  5. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Motivational speaker
  6. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Hakuna aliyemuingiza choo cha kiume. Yeye kwa upumbavu wake ameingia mwenyewe choo cha kiume na amegoma kutoka
  7. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi wa 18 akwamisha kesi yaahirishwa hadi Agosti 17, 2026

    Yaan siku moja watahojiwa mashahidi 13!
  8. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi wa 18 akwamisha kesi yaahirishwa hadi Agosti 17, 2026

    Hivi kwenye hii kesi jamhuri ina mashahidi wangapi.?
  9. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania MwanaHALISI: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Hili gazeti likivuka wiki hii sijui
  10. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Ego ya Rais Samia imezidi hata ya Hayati Magufuli ndiyo tatizo kubwa pamoja na rushwa

    Kiufupi ni rais ambaye hajawai kuchaguliwa na watu. 2021 aliingia kwa kurithi,2025 aliingia kwa mapinduzi na wala sio angalau Kwa wizi wa kura.
  11. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    Mauji,utekaji,ulawiti,utapanyaji wa fedha za walipa kodi,kukopa kopa hovyo,upendeleo,kurasimishwa Kwa uchawa,incompetence,rushwa kubwa kubwa,kujiweka madarakani kwa nguvu n.k
  12. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Mchange: Mnyika aliacha kugombea Ubungo mwaka 2015 kwasababu hakukubaliana na ujio wa Lowassa CHADEMA

    Haya mataahira hata kusoma vitu vidogo vidogo hayajui,Mnyika aligombea ubunge Kibamba mwaka 2015 na akashinda. Hakugombea ubunge mwaka 2020 ili afanye kazi ya ukatibu mkuu kwa ufanisi.
  13. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Uteuzi/Utenguzi Aprili 2, 2026: Angela Kizigha ateuliwa kuwa Mbunge, Mkurugenzi EWURA atenguliwa

    Tulia alimfanyia nini dactari bingwa mbobezi kwenye masuala ya upasuaji wa moyo na ubongo?
  14. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasifu (CV) wa Naibu Waziri wa Elimu, Wanu Hafidh Ameir sijauelewa kabisa

    Naibu waziri haramu wa elimu ana elimu mbalimbali yaani ana elimu ya hapa na pale🤔🤔
Back
Top Bottom