Umeandika mengi ila nimesoma paragraphs za mwanzo nilipoona mzigo wote unataka kumwangushia Chalamila nikaamua niishie hapo. Kwa Dar unamsema Chalamila Mwana alikuwepo? Arusha,Mbeya,Njombe,Geita na kwingineko yeye ndo alitoa amri?
Imeshindwa kumdhibiti Zumaridi mkuu yaan Zumaridi la kizimjob kwa nini unataka imdhibiti Zumaridi wa Mwanza? Adhibitiwe Zumaridi wa Kizimjob kwanza mwenye degree ya ususi kutoka Pakistan
Unatoka kuwa PM unakuwa naibu pm hayo si matope! Anawadanganya wana Ruangwa anajua jinsi walivyo mataahira na ndio maana wamemshangilia alipowadanganya. Baada ya pm ni vp kama kweli anathamini alichokifanya angemteua awe mgombea mwenza ili baada ya uchaguzi awe vp tofauti na hapo ni utapeli wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.