Recent content by hamada umelewa

  1. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania MwanaHALISI: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Hili gazeti likivuka wiki hii sijui
  2. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Ego ya Rais Samia imezidi hata ya Hayati Magufuli ndiyo tatizo kubwa pamoja na rushwa

    Kiufupi ni rais ambaye hajawai kuchaguliwa na watu. 2021 aliingia kwa kurithi,2025 aliingia kwa mapinduzi na wala sio angalau Kwa wizi wa kura.
  3. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    Mauji,utekaji,ulawiti,utapanyaji wa fedha za walipa kodi,kukopa kopa hovyo,upendeleo,kurasimishwa Kwa uchawa,incompetence,rushwa kubwa kubwa,kujiweka madarakani kwa nguvu n.k
  4. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Mchange: Mnyika aliacha kugombea Ubungo mwaka 2015 kwasababu hakukubaliana na ujio wa Lowassa CHADEMA

    Haya mataahira hata kusoma vitu vidogo vidogo hayajui,Mnyika aligombea ubunge Kibamba mwaka 2015 na akashinda. Hakugombea ubunge mwaka 2020 ili afanye kazi ya ukatibu mkuu kwa ufanisi.
  5. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Uteuzi/Utenguzi Aprili 2, 2026: Angela Kizigha ateuliwa kuwa Mbunge, Mkurugenzi EWURA atenguliwa

    Tulia alimfanyia nini dactari bingwa mbobezi kwenye masuala ya upasuaji wa moyo na ubongo?
  6. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasifu (CV) wa Naibu Waziri wa Elimu, Wanu Hafidh Ameir sijauelewa kabisa

    Naibu waziri haramu wa elimu ana elimu mbalimbali yaani ana elimu ya hapa na pale🤔🤔
  7. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania PICHA: Wauaji wa vijana kwenye maandamano wakijitapa mtandaoni

    Mhe rais ni nani? Muuaji hatakiwi kuitwa mheshimiwa hata siku moja
  8. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Voices from Within: Mauaji ya wananchi Dar, tusiwalaumu Polisi. Je Amri ya kuua Ilitoka kwa muuaji huyu?

    Umeandika mengi ila nimesoma paragraphs za mwanzo nilipoona mzigo wote unataka kumwangushia Chalamila nikaamua niishie hapo. Kwa Dar unamsema Chalamila Mwana alikuwepo? Arusha,Mbeya,Njombe,Geita na kwingineko yeye ndo alitoa amri?
  9. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Nini kimemkuta Dkt. Dorothy Gwajima hajawa mbunge?

    Hata hapo awali hakuwahi kugombea ubunge wala hakuwa mbunge wa viti maalmu,alikuwa mbunge wa kuteuliwa na rais.
  10. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Miye mzima, Afya yangu nzuri wanaoniombea mabaya watatungulia wao

    Ajiulize tumefikaje hapa?
  11. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Ukiamka mgonjwa oktoba 29 mtaarifu mjumbe ufanyiwe mpango ukapige kura

    Nadhani mwaka huyu kura zitapigwa kwa lazima,yaani itakuwa unakutwa nyumbani unakula fimbo tano unaenda kituoni kupiga kura.
  12. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Serikali Imeshindwa kabisa kumthibiti Zumaridi?

    Imeshindwa kumdhibiti Zumaridi mkuu yaan Zumaridi la kizimjob kwa nini unataka imdhibiti Zumaridi wa Mwanza? Adhibitiwe Zumaridi wa Kizimjob kwanza mwenye degree ya ususi kutoka Pakistan
  13. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Majaliwa ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini

    Kikwete ni "RAIS" Samia ni "rais"
  14. hamada umelewa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Majaliwa ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini

    Unatoka kuwa PM unakuwa naibu pm hayo si matope! Anawadanganya wana Ruangwa anajua jinsi walivyo mataahira na ndio maana wamemshangilia alipowadanganya. Baada ya pm ni vp kama kweli anathamini alichokifanya angemteua awe mgombea mwenza ili baada ya uchaguzi awe vp tofauti na hapo ni utapeli wa...
Back
Top Bottom