Recent content by halloperidon

  1. halloperidon

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kuna ambao hadi leo hawajaingiziwa salary kama mimi?
  2. halloperidon

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huwez amini cashout ilifika laki 5 hiv nikaacha ikabaki mechi ya saa 7 sao paulo na odd yake ya 1.38 ikachana ila nimejifunza kitu
  3. halloperidon

    Inauma lakini ndio maisha unakubaliana nayo

    Sasa kinacho kuuma nini jamaa yako kufanikiwa?
  4. halloperidon

    Mshahara wa mwezi huu umeingizwa kwa NMB?

    Tayar kwako mkuu wengi hatujaingiziwa
  5. halloperidon

    Nimekopa nadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 30, maisha magumu na mshahara hautoshi. Nafikiria kuacha kazi

    Kuna mwalimu mmoja alichukua mkopo akanunua ka Tax akawa anapakia abiria anapopata nafasi na mida ya jioni kama njia ya kujiongezea kipato Saiv ameacha kazi ya uwalimu anaendesha tu tax analaza hadi laki 2 kwa siku
Back
Top Bottom