Kuna mwalimu mmoja alichukua mkopo akanunua ka Tax akawa anapakia abiria anapopata nafasi na mida ya jioni kama njia ya kujiongezea kipato
Saiv ameacha kazi ya uwalimu anaendesha tu tax analaza hadi laki 2 kwa siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.