KAMA UKO SERIOUS;
Sidhani kama uko serious na hii biashara utashindwa kuchukua hii ps4.
Chukua ps4 fat, ina game la GTA
Imechipiwa,
Bado mali ni mpya tuu.
Pad hizo apo ni mpya.
Kwasababu halina game la mpira naliuza kwa 450k top.
Ila, kama uko dar nakupa connection pa kwenda kuweka games bure...
Nilitegemea ngoma za HISIA kali WESTLIFE wakidorminate lakini naona watu hawawapi attention BUT for me..
Wale vijana wananafasi kubwa sana kwenye kichwa changu.. Nina zaidi ya nyimbo 80+ na hakuna nyimbo mbaya..zimetulia .
Sio watu wale
NI UKOSEFU WA ADABU KABISA NA NI MATUSI KUMLINGANISHA Ed sheeran na The weeknd..
Ed huyu huyu ? The weekend anaimba na ni msanii hatari sana lakini Ed sheeran ni moto mwingine, Mashairi yake sio ya mchezo mchezo..
Huyu fundi wa guitar?
Perfect
Shape of you
Photography
Penguin
Visiting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.