Recent content by HalimaMdee Jr

  1. HalimaMdee Jr

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Bado ipo
  2. HalimaMdee Jr

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nipewe laki 4 na smartphone yoyote iliyo katika hali nzuri. Karibu.
  3. HalimaMdee Jr

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Huawei Ascend G6 Mpya kabisa haijatumika. Ram 2 GB Storage 4GB 4G Mpya ktk boksi lake utapewa kila kitu Bei 500,000 Au kama kuna mwenye smart phone iliyoko ktk hali nzuri tunaweza kubadilishana kwa 400,000. Kwa mawasiliano zaidi nicheki PM Picha
  4. HalimaMdee Jr

    Safari ya kuhamia Dodoma yapamba moto kila wizara

    Hizo nyumba wanazoziacha wazi tupangishiwe wananchi kwa bei nafuu. Maana Rais huwa anasema ni mtetezi wa wanyonge... Tuone kwa vitendo sasa.
  5. HalimaMdee Jr

    Kipindi cha Ngazi Kwa Ngazi by Salama Jabir

    Kumbe ndio maana ya lile dongo la Instagram?
  6. HalimaMdee Jr

    Botellón – Get Together ya Wana JamiiForums - Ijumaa Tarehe 29 Julai 2016

    Tulia mkuu,hapotei mtu hapa. Nafanya mchakato wa kuwapata hao waandaaji wa Party.
  7. HalimaMdee Jr

    Tangazo muhimu kwa kila Mwanachadema na Watanzania wote

    Nipo tayari,tufanye kweli hiyo tarehe 1 jama. Udikteta haukubaliki.
  8. HalimaMdee Jr

    Top 10 Most Peaceful Countries in Africa-Tanzania haimo-Can you believe it?

    Kwa amani ipi tuliyokuwa nayo? Haki hakuna,nchi inaendeshwa kidikteta. Uhuru wa kutoa maoni hakuna. Nampongeza aliyeandaa list,sio mnafiki. [emoji122][emoji122]
  9. HalimaMdee Jr

    Botellón – Get Together ya Wana JamiiForums - Ijumaa Tarehe 29 Julai 2016

    Bora wewe usiye na masharti. Do the needful please [emoji14]
  10. HalimaMdee Jr

    Botellón – Get Together ya Wana JamiiForums - Ijumaa Tarehe 29 Julai 2016

    Mhhhhh ni bora nisiende,masharti magumu sana.
  11. HalimaMdee Jr

    Tembo 1 awashinda simba 14

    Kuna siku niliangalia clip ya Tembo akipambana na Simba watatu,ila walifanikiwa kumuua. Wakati wa mapambano yule Tembo alivyokuwa analia niliumia sana.
  12. HalimaMdee Jr

    Reaction ya wazazi binti yao akifikisha miaka 30 na hajaolewa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom