Ila kuna watu huwa mnafikiria mbali sana. Kikubwa ni kwa nia njema kiukweli sekta yetu ya kilimo ni moja ya sekta ambayo inahitajika sana kwani watu hawawezi kula. Hakika yakifikiriwa haya tunaweza kufika mbali.
Samahani nikiangalia hapo picha uliyorejea kwa kusema ni picha yako! Ningependa kufahamu wasifu wako. Pia ningependa unifafanulie kidg kuhusu hizo picha mbili
Hii ni kweli kabisa baadhi ya wazalishaji wetu ni wachakachuaji mfno japo naomba nisitaje jina la kiwanda kipo Dar es Salaam kinajihusisha na utengenezaji wa nywele bandia. Kwakwel niliwahi kununua nywele zao nilikoma sidhani kama nitarudia bora niendelee na Brazilian hair tu mpk watakapotushawishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.