Recent content by Halima Mlumba

  1. H

    SoC03 Ni jukumu langu kuleta mapinduzi ya kijani kwa maendeleo ya taifa

    Ila kuna watu huwa mnafikiria mbali sana. Kikubwa ni kwa nia njema kiukweli sekta yetu ya kilimo ni moja ya sekta ambayo inahitajika sana kwani watu hawawezi kula. Hakika yakifikiriwa haya tunaweza kufika mbali.
  2. H

    SoC03 Tathimini ya taratibu za uendeshaji wa shughuli za biashara nchini Tanzania

    Kaka yangu! Unayoongea ni ukweli, wengi tuna kiu ya kufanya biashara ila tukifikiria process zote
  3. H

    SoC02 Kilio changu katika sekta ya Afya

    Acha tu nikupigieeee kura umenigusa mahala fulani ivii!
  4. H

    SoC02 Ni wakati sasa wa kumaliza vita hii ya vijana dhidi ya ukuaji wa sayansi na teknolojia

    Oh! Congratulations kijana Mungu akufanikishe katika safari yako! Kwakwel
  5. H

    SoC02 Ni muda muafaka wa kuinua vilivyo vyetu

    Fact hapa naungana na wew! Natamani chapisho lako lifike mbali kaka yangu.
  6. H

    SoC02 Ni wakati sasa wa kumaliza vita hii ya vijana dhidi ya ukuaji wa sayansi na teknolojia

    Samahani nikiangalia hapo picha uliyorejea kwa kusema ni picha yako! Ningependa kufahamu wasifu wako. Pia ningependa unifafanulie kidg kuhusu hizo picha mbili
  7. H

    SoC02 Ni muda muafaka wa kuinua vilivyo vyetu

    Hii ni kweli kabisa baadhi ya wazalishaji wetu ni wachakachuaji mfno japo naomba nisitaje jina la kiwanda kipo Dar es Salaam kinajihusisha na utengenezaji wa nywele bandia. Kwakwel niliwahi kununua nywele zao nilikoma sidhani kama nitarudia bora niendelee na Brazilian hair tu mpk watakapotushawishi.
Back
Top Bottom