Hahahahaha sasa kama mahali yenyewe kalipiwa atakuwa na mamzi ya maana kwenye familia kweli huyu nakumbuka aligombea ubunge wakamchinja rabda ndo mzee anamfuta machozi au ndio gia yake 2015
Kwa wote mrotoa ushauri nawashukuru sana tena maana mwana dogo anaareji ya vipere miguuni sasa watu wamenambia nimtoe kiroba kwanza kabla ya kuchukua hatua zaidi asanteni sana
Waungwana habari za nyinyi mwanzenu nina mtoto wa kiume sasa natakiwa kumtahili naomba ushauri kwa dar n wapi naweza kupata mtaalum wa ukweli kabisa ambaye anaweza kumfanyia mwanangu kwa usahihi????
Yani umepiga mwenyewe me huwa natumia nguvu mpaka nikahisi majinamizi yananigwaya maana huwa nagundua pindi mambo yanapoanza tu naamka natibua mipango yote kwa jina la yesu.
Meya wa manisipa wa jiji la kampala uganda amepewa mkong'oto na polisi hadi akazimia kipigo hicho amepewa jana baada ya kubainika anamuunga mkono mpinzani wa raisi yoweri m7...... sorce mwananchi jumamosi
Meya wa manisipa wa jiji la kampala uganda amepewa mkong'oto na polisi hadi akazimia kipigo hicho amepewa jana baada ya kubainika anamuunga mkono mpinzani wa raisi yoweri m7
Meya wa manispa ya mji wa kampala uganda amepata mkong'to wa haja mpaka kuzirai ni baada ya yeye meya kumuunga mkono mpinzan wa mseven ambaye ni kiza besigye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.