WASAP: 0754021538
Kama maziwa yanaondoa sumu na wakati huo mke ana ana maziwa je mwisho wake nini kilitokea? Twende nami mwanzo mpaka mwisho wa simulizi hii kuweza kupata simulizi hii ya aina yake.
TUANZE NAYO:
Dunia imejaa maajabu yeshe kushangaza na wakati mwingune kuchekesha, kuhuzunisha...
Mtoto Mdogo wakiume alimuuliza Mama yake kwa upole: "Unalia nini Mama?"
Mama yake akajibu: "Kwasababu Mimi ni mwanamke!"
Sijakuelewa Mama.
"Sijakuelewa Mama!?"
Mama yake akamtazama kidogo, kisha akasema: "Na kamwe hutoelewa"
Basi Mtoto hakulizika, ivyo akamfuata Baba yake nakumuuliza swali...
FAIR PLAY
(Mchezo wa kirafiki)
Sehemu ya................01
Saa 2:30 Asubuhi, ZAMBE.
Gari aina ya Land cruiser lilikuwa likienda kwa kasi sana katikati ya mji wa Nzambe.
Ndani ya gari hilo walikuwamo watu wanne wote wakiwa wamefunika nyuso zao kwa vitambaa vyeusi.
Katika siti ya nyuma...
BAKI NA MIMI
Email: halfanhamis337@gmail.com
Yusto alimaliza kusoma ujumbe huo kutoka kwa Brandina wenye utani ndani yake, akainua macho yake akamtazama Caren akakuta nae anamtazama.
"vipi"
"mmh poa tu vipi"
Waliongea baada ya kutazama kwa muda kila mmoja akaonyesha kama hamna kilichotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.